Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Browsing all 19676 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI WA KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA IRINGA GNSM ATOA MSAADA WA...

majengo ya  kituo hichoMKurungenzi  wa kampuni ya ujenzi  wa barabara Iringa ya GNSM Bw  Geofrey Mungai na mkewe  Sarafina Mungia katikati  wakikabidhi  baada ya misaada  yenye thamani ya zaidi ya Tsh...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF WAAHIDI KUANGUSHA SHOO YA KUFA MTU DAR LIVE...

Wanamuziki Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' na Mzee Yusuf (kushoto) wakipozi baada ya kufanya mahojiano na wanahabari leo.Wanamuziki hao wakionyesha mbwebwe zao mbele ya wanahabari (hawapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSHINDI WA PILI WA MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 NDIYE ATAIWAKILISHA NCHI...

Kamati ya Miss Universe Tanzania imemteua mshindi wa pili wa Miss Universe 2014, Nale Boniface kwenda kuiwakilisha nchi katika mashindano ya kimataifa ya Miss Universe yatakayofanyika mwanzoni mwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AKUTANA NA VIONGOZI WA WAFANYABIASHARA...

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa vijana wa CCM Taifa Mh Mboni Mhita Ambaye Pia ni Katibu Mkuu wa Pan African Union Ulio Chini ya Umoja wa Afrika AU  Anayehusika Kushugulikia Ajira kwa Vijana, Fursa ,Elimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOJA ZA DAVID KAFULILA (MB) KWA HOTUBA YA RAIS KIKWETE ALIYOITOA WAKATI...

1. Hoja kwamba pesa zilitolewa kwa uamuzi wa hukumu ya sept 5.2013 sio sahih ikwa sababu hukumu ilisema ALL AFFAIRS OF IPTL SHOULD BE HANDED TO PAP. Haikusema kama escrow monies ni party of affairs of...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALEX MSAMA AMWAGA ZAWADI ZA KRISMAS KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR ES...

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Bi. Honorata wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Honorata kilichopo Temeke jijini Dar es salaam leo wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA TIBAIJUKA NA DHANA YA UWAJIBIKAJI KISIASA

Na Mwandishi Maalum.Dhana ya uwajibikaji kutokana na makosa yanayofanywa na watumishi wa umma ni nyenzo muhimu katika kudumisha utawala bora. Hata hivyo, mara nyingi dhana hiyo imekuwa ikipewa tafsiri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUIMARISHE ULINZI KATIKA MIKUSANYIKO YA SHEREHE ZA X MASS NA MWAKA MPYA

KESHO ni siku ya Siku kuu, pasi na shaka hakuna mtu ambaye halijui hilo.Siku kuu ya Krisimasi na mwaka mpya ni siku kuu ambazo hufuatana na kwadesturi ya ushirikiano tulio nao hapa nchini siku hizi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8JANUARY) LAFANA MJINI MOROGORO

 Wasanii wa Hip hop katika anga ya muziki wa Bongofleva,Faridi Kubanda a.k.a Fid Q pamoja na Stamina wakilishambulia jukwaa kwenye tamasha la wazi la Tuo8January,hapo jana katika viwanja vya sabasaba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA MSANII NASSIB ABDUL ‘DIAMOND’ IKULU,...

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha msanii Naseeb Abdul “Diamond”  na  kumpongeza kwa kushinda tuzo tano za muziki za kimataifa mwaka huu, Ikulu jijini Dar es salaam siku ya Jumanne Desemba...

View Article

MERRY X-MASS; MUUNGANO CHRISTIAN CHOIR - KUZALIWA KWA YESU

Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGENI RASMI WAZIRI MKUU MSTAAFU FREDRICK SUMAYE AWASILI JIJINI MBEYA, TAYARI...

Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akiwasili na ndege ya shirika la ndege la Fastjet kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Songwe mjini Mbeya huku akiwa ameongozana na Katibu Mkuu wa Umoja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KRISMASI SIYO SHEREHE PEKEE

Leo ni siku ambayo imezoeleka kote duniani kwa waumini wa Dini ya Kikristo kusherehekea kuzaliwa kwa Yesu Kristo kwa kuhudhuria ibada na baadaye kuwa na sherehe ambazo kwa kiasi kikubwa huhusisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKOFU DK. MALASUSA ASEMA, TAIFA LINAHITAJI VIONGOZI WAAMINIFU NA WAADILIFU

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Azania Front,  Dk. Alex Malasusa akitoa baraka kwa waumina wa kanisa hilo  baada ya kumalizika kwa ibada ya Sikukuu ya Krismasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA YA LEO

Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH. LOWASSA AHUDHURIA IBADA YA KRISMAS UNGUJA, ZANZIBAR

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akizungumza katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania la Mwanakwerekwe, mjini Unguja, Zanzibar alipohudhuria ibada ya Sikukuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMII YAASWA KUMRUDIA MUNGU - VIONGOZI WA DINI

 Askofu Msaidizi wa Jimbo kuu la Katoliki , Dar es Salaam Eusebius Nzigilwa akiongoza ibada ya Krismas katika Kanisa la Mt. Joseph, jijini Dar es salaam leo."Shkamoo....." Askofu Msaidizi wa Jimbo kuu...

View Article


TUNDA MAN - MAPENZI YALE YALE

Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOTO WA KITUO CHA YATIMA CHA TUWAPENDE BUNJU, DAR WAPATIWA CHAKULA...

 Danielle Taboada raia wa Uswisi (katika), akimsaidia mmoja wa watoto wanaolelewa katika kituo cha yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, wakati wa chakula cha mchana kilichoandaliwa na Hoteli ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FREDRICK SUMAYE: KUWENI NA HOFU YA MUNGU, NAYE ATASIKIA MAOMBI YENU KWA TAIFA

Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama Baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Sokoine tayari kwa tamasha la Krismas lililofanyika...

View Article
Browsing all 19676 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>