Zungu aibuka Kidedea, achaguliwa Kuwa Uspika wa Bunge la Tanzania
*Apata kura 378, aahidi Bunge la haki na uwaziNa Mwandishi Wetu, DodomaAliyekuwa Naibu Spika wa Bunge lililopita na Mbunge wa Ilala kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mussa Azzan Zungu, ameibuka...
View ArticleRais Samia amteua Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania
Na Mwandishi Wetu, DodomaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Taarifa hiyo...
View ArticleMwigulu awa Waziri Mkuu mpya — “Nitakuja na fekeo na rato!”
Na Mwandishi Wetu, DodomaBunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha rasmi uteuzi wa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu kuwa Waziri Mkuu mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufuatia...
View ArticleDaniel Sillo achaguliwa kuwa spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Na Mwandishi Wetu, DodomaMbunge wa Jimbo la Babati Vijijini (CCM), Mhe. Daniel Baran Sillo, amechaguliwa kwa kishindo kuwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika uchaguzi...
View ArticleMhe. Dkt Mwigulu apokelewa ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri Mkuu Mteule Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akipokelewa na watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, kwenye makazi ya Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma Novemba 13, 2025.Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Nchemba...
View ArticleRais Ruto awapongeza Wajasiliamali wa Tanzania kwa Ubunifu na Ubora wa Bidhaa
Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. Dkt. William Ruto akiangalia bidhaa za Wajasiriamali wa Tanzania katika alipotembelea Maonesho ya 25 ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki,...
View ArticleBodaboda apata Pikipiki mpya baada ya Ubunifu wa Nembo za MATI Super Brands
Na Mwandishi Wetu, BabatiDereva bodaboda wa mjini Babati, Filemon Mbaga, amepewa pikipiki mpya na Kampuni ya Mati Super Brands Ltd baada ya kuibuka mshindi katika challenge ya ubunifu ya kutangaza...
View ArticleRais Dkt. Samia amuapisha Dkt. Mwigulu kuwa Waziri Mkuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika hafla iliyofanyika Chamwino Ikulu...
View ArticleCamara Amaliza Sitofahamu, Aenda Kutibiwa Nje
Kipa namba moja wa Simba, Moussa Camara, hatimaye ameondoa sintofahamu iliyokuwa ikizunguka mustakabu wa jeraha lake baada ya kukubali kusitisha mgomo na kuridhia kufanyiwa upasuaji wa goti lake nje ya...
View ArticleBodi ya Filamu Yaendeleza Ushirikiano na China Kuboresha Utalii Kwa Filamu
Na Mwandishi Wetu, BeijingKatika hatua muhimu za kuendeleza sekta ya filamu na kuitumia kama nyenzo madhubuti ya kutangaza utalii wa Tanzania, Bodi ya Filamu Tanzania imeshiriki mafunzo maalumu ya...
View ArticleRais Samia Atoa Wito wa Kuendeleza Maombi kwa Amani ya Taifa
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza katika Ibada ya Jumpili aliyoshiriki katika Usharika wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Kisasa jijini Dodoma, Novemba 16, 2025.Na Mwandishi Wetu,...
View ArticleTasnia Yaingia Kiza: MC Pilipili Afariki Ghafla Dodoma
Na Mwandishi Wetu, DodomaTasnia ya burudani nchini imegubikwa na majonzi makubwa baada ya msanii na mshereheshaji mashuhuri, Emmanuel Mathias ‘MC Pilipili’, kufariki dunia ghafla leo mchana wakati...
View ArticleMagazetini Leo Novemba 17, 2025; Ajenda Maridhiano katika Upepo mpya
Magazeti Copyright 2007-2021 @KAJUNASON BLOG
View ArticleRais Samia Atangaza Baraza Jipya la Mawaziri, Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitangaza Baraza jipya la Mawaziri, Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 17 Novemba, 2025.Copyright 2007-2021 @KAJUNASON BLOG
View ArticleRais Atangaza Majina ya Baraza jipya la Mawaziri
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitangaza Baraza jipya la Mawaziri, Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 17 Novemba, 2025.Copyright 2007-2021 @KAJUNASON BLOG
View ArticleRais Samia aunda Tume Huru kuchunguza Vurugu za Uchaguzi
Na Mwandishi Wetu, DodomaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameunda Tume Huru ya kufanya uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea nchini wakati na...
View ArticleRais Samia: Mawaziri Wapya waendeleze Kasi, watoe matokeo kwa wananchi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya uapisho wa Mawaziri pamoja na Naibu Mawaziri, Ikulu...
View ArticleCamara afanyiwa upasuaji kwa mafanikio, awahimiza mashabiki kuendelea kumuombea
Kipa wa Simba SC, Moussa Camara, ametuliza mashabiki wa Wekundu wa Msimbazi baada ya kuthibitisha kuwa upasuaji wa goti lake umefanyika kwa mafanikio. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Camara aliweka...
View ArticleWaziri Gwajima ataka Kasi zaidi
Na Abdala Sifi WMJJWM- DodomaWaziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amewataka watumishi wa Wizara hiyo kuongeza bidii na kasi zaidi kwenye kutimiza...
View ArticleRais Samia Wateua Viongozi Wapya Ikulu na Kidiplomasia
Na Mwandishi Wetu, DodomaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko mapya katika baadhi ya nafasi za uongozi ndani ya Serikali, huku akiteua viongozi...
View ArticleRais Mwinyi apokea kitabu Maalum cha habari picha za kampeni ya Uchaguzi Mkuu...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo tarehe 20 Novemba 2025 amepokea Kitabu Maalum chenye mkusanyiko wa habari picha za kampeni za Uchaguzi Mkuu wa...
View ArticleBi. Jenifa Omolo, Dkt. Mapana Wateuliwa Kuongoza Maendeleo ya Vijana
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi wawili katika Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya...
View ArticleMhitimu UDSM Avunja Rekodi ya Miaka 32 Law School, Apongezwa na Dkt. Kikwete
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Rais Mstaafu Wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Mhitimu wa Shahada ya Awali ya Sheria ambaye alivunja rekodi iliyodumu miaka 32 kwa kupata Daraja...
View ArticleWateja wa Benki ya CRDB Wafurahia Huduma Wakijizolea Zawadi
Kampeni ya TUSHAVUKA HUKO ya Benki ya CRDB inaendelea kuvunja rekodi baada ya wateja kutoa ushuhuda kuhusu maboresho makubwa ya mfumo na huduma za benki hiyo, huku wakijipatia zawadi mbalimbali...
View Article