Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRANSFORM YOUR LEADERSHIP JOURNEY WITH MWALIMU JULIUS NYERERE LEADERSHIP SCHOOL

Copyright 2007-2021 @KAJUNASON BLOG

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VYAMA VYA SIASA, SERIKALI NA TUME YA UCHAGUZI WASAINI MAADILI YA UCHAGUZI

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akisaini maadili ya Uchaguzi kwa niaba ya Tume.Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi wa makanisani wampongeza mama Samia kampeni ya Legal Aid

Na Hadija Bagasha Korogwe, Tanga.Baadhi ya wananchi wanaoishi Wilayani Korogwe Mkoani Tanga wamesema wanaokabiliwa na Changamoto mbalimbali ikiwemo za Ardhi, Mirathi, na masuala ya ukatili wa kijinsia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tully Esther Mwambapa Atunukiwa Tuzo ya “KiongoziAnayeongoza kwa Uwezeshaji...

Lagos Nigeria - Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation na Mkurugenzi wa MahusianowaBenki ya CRDB Bank, Tully Esther Mwambapa, ametajwa kuwa Kiongozi Anayeongoza kwa Uwezeshaji Barani Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AWAMU YA PILI UBORESHAJI, UWEKAJI WAZI WA DAFATRI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI

Na Mwandishi Wetu.Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura awamu ya pili utafanyika sambamba na uwekaji wazi wa Daftari la Awali la Wapiga Kura kuanzia tarehe 01 Mei, 2025 na kukamilika tarehe 04...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. KIKWETE AWASILISHA UJUMBE WA RAIS DKT SAMIA SULUHU CONGO BRAZZAVILLE

Rais wa Awamu ya Nne na Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amewasilisha Ujumbe Maalum kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Congo (Congo Brazzaville), Mhe. D COLLINET...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vodacom Yazindua Twende Butiama 2025 kwa Lengo la Kuboresha Elimu, Afya na...

Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Bi. Zuweina Farah, akizungumza wakati wa uzinduzi wa msafara wa Vodacom Twende Butiama kwa mwaka 2025. Kushoto ni 8Mwanzilishi wa Twende...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM TANGA WAMSHUKURU MBUNGE UMMY MWALIMU KWA KUWEKEZA KWA VIJANA KUPITIA MICHEZO

Na Oscar Assenga, Tanga.Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Tanga, Shabani Hamisi, amemshukuru Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Ummy Mwalimu, kwa kuandaa mashindano ya Oddo Ummy Cup kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEKRETARIETI YA AJIRA YAPONGEZWA KWA KUFANYIA KAZI USHAURI WA KAMATI YA...

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Kizito Mhagama (katikati) akizungumza na Viongozi na Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakati wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya CRDB, COSTECH wasaini mkataba wa shilingi bilioni 2.3 kuwezesha...

Dar es Salaam. Tarehe 17 Aprili 2025: Katika kuimarisha ubunifu na ujasiriamali miongoni mwa vijana nchini, Benki ya CRDB kupitia taasisi yake ya CRDB Bank Foundation na Tume ya Taifa ya Sayansi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAZINDUA MRADI WA MAJI KIJIJI CHA TUNGAMAA PANGANI, WANANCHI ZAIDI...

Na Oscar Assenga, Pangani.ZAIDI ya Wananchi 2500 wa Kijiji cha Tungamaa wilayani Pangani mkoani Tanga watanufaika na mradi wa Maji baada ya Serikali kutekeleza mradi katika eneo hilo uliogharimu kiasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI ZA MWAKA 2025

BOFYA HAPA KUSOMA KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI ZA MWAKA 2025Copyright 2007-2021 @KAJUNASON BLOG

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAB YASHIRIKI KIKAO KAZI CHA MAAFISA UTAMADUNI NA MAENDELEO YA MICHEZO JNICC

Na Mwandishi Wetu.Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari, Wakili Patrick Kipangula ameshiriki Kikao Kazi cha Kimkakati cha Maafisa Utamaduni na Maafisa Maendeleo ya Michezo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YAANZA KUKUTANA NA WADAU KATIKA MAJIMBO YALIOOMBA KUGAWANYWA

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akizungumza wakati akiongoza kikao cha pamoja kati ya Tume na wadau wa uchaguzi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Magu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya Exim Yakabidhi Madarasa kwa Shule Mbili za Sekondari Mkoani Kigoma

Mkuu wa wilaya ya Buhigwe, Kanali Michael Ngayalina (kulia), ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Kigoma na Bw. Stanley Kafu (kushoto), Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim Tanzania wakifunua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SINGIDA KASKAZINI WAIAMBIA TUME JIMBO LIITWE ILONGERO

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akizungumza waklati wa ufunguzi wa kikao hicho cha Tume na Wadau wa Uchaguzi kutoka Halmashauri ya Singida...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI HAIJATOA HURUMA KWA WASIO NA SIFA ZA...

Na Mwandishi Wetu, JAB.Sheria ya Huduma za Habari ya mwaka 2016, haijatoa fursa ya kuwafikiria Waandishi wa Habari au watu wanaofanya kazi za kihabari, bila kukidhi vigezo vya kielemu hususan kiwango...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI ITAFANYIA KAZI HARAKA MAAZIMIO YA KONGAMANO LA UHURU WA VYOMBO VYA...

Wadau na Waandishi wa Habari wakifuatilia uwasilishaji wa mada na majadiliano katika siku ya kwanza ya Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari lililofanyika leo tarehe 28 Aprili,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA MKUTANO MKUU WA MAWAKALA WA FORODHA YAKAMILIKA

Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Mawakala wa Fordha yamekamilika huku viongozi wa sekta mbalimbali wakitarajiwa kushiriki katika kujadili njia bora za kuimarisha mifumo ya forodha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WATAKIWA KUULINDA MUUNGANO

Na Oscar Assenga,TANGAWATANZANIA wametakiwa kuendelea kuenzi na kuulinda Muungano uliopo hapa nchini ambayo ni tunu kubwa ilioachiwa na Waasisi wa Taifa kwa miaka 61 sasa iliyopita ikiwemo kudumisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUUNDWA KWA JAB NI HATUA YA KUIMARISHA NA KUBORESHA SEKTA YA HABARI - MAJALIWA

Na Mwandishi Wetu, JAB.Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amesema Serikali ya Awamu ya Sita imechukua hatua kadhaa katika kuimarisha na kuboresha sekta ya habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ubunifu kwa Maendeleo: Tanzania Yajipanga kwa ajili ya Mkutano wa Future...

Mwakilishi Mkazi wa UNDP Tanzania, Shigeki Komatsubara (katikati) akizungumza kwenye mdahalo uliofanyika wakati wa kutangaza msimu mpya wa Wiki ya Ubunifu sambamba na mkutano wa Future Ready Summit...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MAVUNDE ATOA MAAGIZO MATANO KWA MENEJIMENTI YA TUME YA MADINI

▪️Asisitiza kuzingatiwa kwa sheria ya Madini▪️Ataka ofisi za Madini kusimamia haki katika usuluhishi wa migogoro▪️Maafisa Madini watakiwa kuongeza ubunifu katika utekelezaji majukumu▪️Makusanyo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YAPONGEZWA KWA USALAMA KAZINI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Ridhiwani Kikwete, ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuwa na mifumo bora ya usalama na afya ya wafanyakazi, wateja na jamii kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANASHERIA CHIPAMBA: KUJENGA JENGO BILA MIUNDOMBINU YA WALEMAVU FAINI NI...

Mwanasheria Baraka Chipamba wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT), akizungumza na watu wenye ulemavu kutoka Jumuiya ya Wasioona Tanzania (TAB), Mkoa wa Dar es alipokuwa akitoa elimu kuhusu...

View Article



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>