Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJILIWA KAJALIWA BUSARA

Ni nadra sana kwa mwanasiasa wa kiafrika kuamua kutogombea uchaguzi uliopo mbele yake, wanasiasa wetu wengi wanapenda sana kuongoza or madaraka na hawatoki mpaka walazimishwe.Uamzi wa Kassim Majaliwa,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA BODI YA ITHIBATI YA WAANDISHI WA...

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira, Vijana naWenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete (wa tatu kutoka kushoto) alipotembelea Banda la Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari-JAB lililopo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa kwa Umma Toka Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB)

Copyright 2007-2021 @KAJUNASON BLOG

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kliniki ya Biashara ya FCC kuwafikia Washiriki zaidi 3500

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Tume ya Ushindani wa Haki (FCC) imechukua hatua madhubuti kuimarisha uelewa wa sheria za ushindani miongoni mwa wajasiriamali wadogo na wa kati kwa kuzindua kliniki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Twende Butiama 2025:Vodacom Tanzania na Benki ya Stanbic Tanzania wakabidhi...

Mkuu wa Kanda ya Kaskazini, Vodacom Tanzania PLC, George Venanty (kushoto) akimkabidhi kiti mwendo mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mkata ambapo pia walikabidhi matundu ya choo 10, magodoro 40,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIGWA ATEMBELEA BANDA LA JAB, ASISITIZA USAJILI NA WAANDISHI WATIA NIA...

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Gerson Msigwa akisaini kitabu cha Wageni pamoja na kuzingumza na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari-JAB, leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vodacom Tanzania yashiriki maonesho ya 49 ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es...

Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania , Philip Besiimire ( Mwenye tisheti nyeupe), pamoja na Mkurugenzi wa Udhibiti wa Hatari na Utii wa Sheria  Agapinus Tax (wa kwanza kushoto) wakipewa maelekezo kuhusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali kuboresha ujuzi wa wanablogu kupitia mafunzo

Na Mwandishi WetuSerikali imekubali kutoa mafunzo maalum kwa waandishi wa blogu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025, hatua muhimu itakayowajengea uwezo na kuwaandaa kubeba dhamana kubwa ya usambazaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REA yajipanga kutimiza malengo ya kitaifa ya upatikanaji wa nishati safi ya...

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amesema Wakala umejizatiti kuhakikisha 80% ya Watanzania wanatumia Nishati Safi ya Kupikia ifikapo mwaka 2034 kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPDC yavuna tuzo ya mazingira kwenye Maonesho ya 49 ya Sabasaba

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeibuka mshindi katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, maarufu kama Sabasaba, baada ya kutuzwa kwa mchango wake mkubwa katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2025 yametolewa – Bofya hapa kuyapata

MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA SITA 2025ACSEE 2025 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIESTAZAMA MATOKEO HAPAMATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2025MATOKEO YA MTIHANI WA UALIMU (DSEE) 2025MATOKEO YA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DCEA yawakamata waliokuwa wakitengeneza biskuti zenye bangi na skanka Sinza,...

●Mfanyabiashara wa madini anaswa mkoani Lindi akisambaza biskuti hizoNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imebaini uwepo wa kiwanda bubu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Chana afanya kikao na Mkurugenzi Msaidizi wa UNESCO, Ernesto Ottone

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana leo Julai 10, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Msaidizi wa UNESCO anayeshugulikia masuala ya Utamaduni, Bw. Ernesto Ottone,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt. Biteko: Taifa lina uzalishaji wa umeme unaokidhi mahitaji

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa NishatiNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Tanzania ina umeme wa kutosha hatua ambayo imechangiwa na kukamilika kwa Miradi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Cyprus ahitimisha ziara ya siku tatu Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus. Dkt. Constantinos Kombos amekamilisha ziara yake ya kikazi ya siku tatu nchini Tanzania na kuagwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) yatoa ufafanuzi kuhusu Utekelezaji wa Mtaala...

UFAFANUZI WA TETTaasisi ya Elimu Tanzania (TET) inaushukuru umma kwa kuendelea kufuatilia kwa karibu taarifa mbalimbali zinazozuhusu utekelezaji wa majukumu yake. TET imeendelea kuhakikisha kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vodacom na Stanbic wametoa miche ya miti na vifaa kusaidia Singida

●Ni kupitia Msafara wa waendesha baiskeli wa Twende ButiamaMkuu wa Kanda ya Kati wa Vodacom Tanzania, Chiha Nchimbi (kulia) na Mkuu wa Mtandao wa Matawi wa Benki ya Stanbic Tanzania, Geofrey Mwijage...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vodacom na Stanbic Bank Tanzania wametoa msaada wa kijamii kwa Halmashauri ya...

Meneja Mauzo Mwandamizi wa Vodacom Tanzania Plc Kanda ya Ziwa, Straton Mchau (wa pili kushoto) pamoja na Meneja wa Benki ya Stanbic Tanzania Tawi la Mwanza Geoffrey Makondo wakikabidhi moja ya viti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda Ataka Haki Katika Uteuzi wa Wagombea

Na Oscar Assenga, TANGA.WAZIRI Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Mizengo Pinda amehimiza viongozi waliopewa dhamana ya mamlaka ya kusimamia mchakato wa uteuzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPA, TRA Wakusanya Bil. 484.8 Kutokana na Uwekezaji wa Bandari ya Tanga

Na Oscar Assenga, Tanga.FEDHA zilizotolewa na serikali kiasi cha shilingi bilioni 429.1 kwa ajili ya uwekezaji katika bandari ya Tanga, fedha hizo zimerudi na kubaki salio la shilingi bilioni 56.7.Hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msajili wa Hazina Asifu Usimamizi wa Shamba la Miti West Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro.Mkurugenzi Msaidizi wa Usimamizi wa Mashirika Yasiyo ya Kibiashara kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina, Bw. Joseph Mwaisemba, amefanya ziara ya kikazi katika Shamba la Miti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vodacom na Stanbic Wafunga Msafara wa Twende Butiama 2025 kwa Mafanikio

Washiriki wa Msafara wa Twende Butiama 2025 wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuhitimisha safari yao wilayani Butiama mkoa wa Mara.Washiriki wa Msafara wa Twende Butiama 2025 wakiwa katika picha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miradi ya Bil. 71.3 Kukaguliwa na Mwenge wa Uhuru, Manyara

Na mwandishi wetu, Simanjiro.MWENGE wa uhuru mwaka 2025 utakagua, kuzindua na kutembelea miradi 51 ya maendeleo yenye thamani ya Sh71.3 bilioni, katika mkoa wa Manyara.Mkuu wa mkoa wa Manyara, Queen...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Julai 15, 2025

Copyright 2007-2021 @KAJUNASON BLOG

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Kabudi: Kufanya Kazi Bila Press Card Ni Kinyume cha Sheria

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Palamagamba Kabudi amesema yeyote anayefanya kazi za kihabari bila kuwa na Kitambulisho cha Uandishi wa Habari (Press Card) kinachotolewa na Bodi ya...

View Article