UDSM yawaita Wadau wa Elimu kushiriki maadhimisho Wiki ya Utafiti na Ubunifu
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeutaarifu umma wa Watanzania na kuwaalika wadau wa elimu na maendeleo, kwa ujumla kushiriki katika Maadhimisho ya kumi ya Wiki...
View ArticlePuma Energy Yaanzisha Nishati Safi ya Mradi wa Umeme wa Jua kwa Kiwanda cha...
Morogoro, Tanzania: Kampuni ya Puma Energy Tanzania imetangaza uzinduzi rasmi wa kituo cha umeme wa jua chenye uwezo wa kilowati 570 katika kiwanda cha tumbaku cha Alliance One Tanzania Tobacco Limited...
View ArticleRais Dk. Samia Suluhu alipongeza Kanisa la KKKT kwa kuwezesha wenye mahitaji...
Na Mwansishi Wetu, DAR ES SALAAM.RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kuwa utumishi wa dini ni ule unaowasaidia jamii na kuwawezesha wenye mahitaji maalumu kuishi maisha bora huku akilipongeza Kanisa la...
View ArticleJAB yaanza kugawa Press Card kwa Waandishi wa Habari
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Zikiwa zimesalia siku 17 kwa Waandishi wa Habari Kujisajili katika Mfumo wa TAI-HABARI ili kuomba Ithibati na Kitambulisho cha Uandishi wa Habari (Press Card), tayari...
View Article‘Waganga wakuu wa mikoa hakikisheni hospitali za Wilaya zinalea vituo vya afya’
Na Mwandishi Wetu, OR- TAMISEMI.NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia afya Prof. Tumaini Nagu amewaelekeza Waganga Wakuu wa Mikoa (RMO`S) Kuhakikisha hospitali zote za Wilaya nchini...
View ArticleTUME YA UCHAGUZI YAPONGEZWA MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU 2025
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonaz akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi la Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kilichokutana Mjini Unguja...
View ArticleVodacom Tanzania Yazindua Kampeni ya Kuadhimisha Miaka 25, Yabeba Ujumbe...
Dar es Salaam, 10 Juni 2025: Katika kuadhimisha miaka 25 ya kuwaunganisha Watanzania, Vodacom Tanzania PLC imezindua kampeni kubwa ya kitaifa inayobeba ujumbe wa “Tupo Nawe, Tena na Tena.” Kampeni hii...
View ArticleMJUMBE WA BIASHARA KUTOKA UINGEREZA ATEMBELEA SBL, ASISITIZA DHAMIRA YA...
Mhe. Kate Osamor (kushoto), Mjumbe Maalum wa Serikali ya Uingereza anayeshughulikia Biashara Afrika Mashariki akiskiliza maelezo kutoka kwa Shekar Makasare (kulia), Msimamizi wa Shughuli za Kiwanda cha...
View ArticleSERIKALI YAPOKEA GAWIO LA TRIL 1 KUTOKA KWA TAASISI ZA UMMA NA MAKAMPUNI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Gawio la Serikali kutoka Mashirika ya Umma na Taasisi mbalimbali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam....
View ArticleBENKI YA EXIM YAFANYA KAMPENI YA UCHANGIAJI DAMU NCHI NZIMA KUIMARISHA SEKTA...
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Dar es Salaam: KATIKA kuendelea kudhihirisha dhamira yake ya muda mrefu katika kuimarisha afya ya umma, Benki ya Exim Tanzania, kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa wa...
View ArticleBenki ya CRDB Yang’ara Katika Tuzo za African Banker 2025: Yatwaa Tuzo ya...
Dar es Salaam, 05 Juni 2025 – Benki ya CRDB imeandika ukurasa mpya wa mafanikio baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo ya Benki Bora kwa Wajasiriamali Wadogo na wa Kati (SME) katika hafla ya tuzo za sekta...
View ArticleKIKAO KAZI CHA KUPITIA NA KUTHIBITISHA RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAIFA WA...
Na Mwandishi wetu Dodoma.Kikao kazi cha kupitia na kuthibitisha Rasimu ya Mpango Mkakati wa Taifa wa Kuzuia Kuzama Maji chafanyika tarehe 11 Juni, 2025 katika ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto...
View ArticleWaziri wa Fedha awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali
Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiwasilisha bungeni mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2025/26, bungeni jijini Dodoma.Na Saidina Msangi,...
View ArticleOFISA HABARI TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA KEN GOLD JELA MWAKA MMOJA KWA KUOMBA...
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutujijini Dar es Salaam imemuhukumu kifungo cha miaka miwili jela au fauni ya Sh.1,000,000 Ofisa Habari na Mawasiliano wa Timu ya Mpira wa...
View ArticleCRDB Bank Foundation, StartHub Africa zaungana kuwawezesha wanafunzi wa vyuo...
Meneja Uendelezaji Biashara Changa wa CRDB Bank Foundation, Sharron Nsule akitoa elimu ya ujasiriamali kwa wanafunzi walioshiriki semina katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.Dar es Salaam, Tanzania –...
View ArticleVIJANA FANYENI MAZOEZI MARA KWA MARA KUIMARISHA AFYA
Katika ulimwengu wa leo unaokumbwa na changamoto nyingi za kiafya, viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Lindi wametoa wito maalum kwa vijana na wananchi wote kufanya mazoezi mara kwa mara kama njia ya...
View ArticleWAZIRI AWESO AKAGUA UJENZI WA OFISI ZA RUWASA, AGAWA MAGARI 19 KWA OFISI ZA...
Na Okuly Julius, DODOMA.Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, amekagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) na kukabidhi magari 19 kwa ajili ya ofisi za makao makuu na...
View ArticleGEORGE MASAJU ATEULIWA JAJI MKUU
Na Happiness Katabazi.RAIS Samia Suluhu Hassan Leo amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George Mcheche Masaju Kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.Kwa Mujibu wa taarifa kwa umma iliyosainiwa na Katibu Mkuu...
View ArticleMHE. SIMBACHAWENE AUNGA MKONO MASHINDANO YA LIGI "SAMIA CUP" AGAWA VIFAA VYA...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, Mhe. George Simbachawene akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Chipogolo, Kata ya Chipogolo...
View ArticleTANZANIA YATOKA RASMI KWENYE ORODHA YA NCHI ZENYE MAPUNGUFU YA KIMKAKATI...
Na Benny Mwaipaja, Dodoma.Tanzania imeondolewa kwenye Orodha ya nchi zenye mapungufu ya kimkakati katika mifumo ya udhibiti utakatishaji fedha haramu, ufadhili wa ugaidi, na ufadhili wa silaha za...
View ArticleMABARAZA, KAMATI ZA HALMASHAURI KUVUNJWA KUFIKIA JUNI 20, 2025.
Na Mwandishi wetu - Dodoma.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Mohamed Mchengerwa amesema kuwa kwa Mamlaka aliyopewa na kuwa mwenye dhamana katika Mamlaka hiyo tayari...
View ArticleRAIS WA AfDB AHITIMISHA ZIARA YAKE YA KIKAZI TANZANIA
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) anayemaliza muda wake, Dkt. Akinwumi Adesina amemaliza ziara yake ya kikazi ya siku 4 aliyoifanya nchini Tanzania kuanzia...
View ArticleMahakama yabariki Lissu kujitetea kesi ya uhaini
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemruhusu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, kujitetea mwenyewe katika kesi ya uhaini...
View ArticleMAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA JUMUIYA YA TATHIMINI AFRIKA ( AfrEA ) WAFANYIKA...
Na Mwandishi Wetu – Addis Ababa, Ethiopia.Tanzania imeshiriki Maadhimisho ya Miaka 25 ya Jumuiya ya Tathmini Afrika (AfrEA) yanayofanyika kwa siku tatu kuanzia tarehe 16 hadi 18 Juni, 2025, katika...
View ArticleMAVUNDE ATAKA WATANZANIA KUPEWA KIPAUMBELE KUSAMBAZA BIDHAA NA HUDUMA MIGODINI
▪️Aelekeza mabadiliko ya Kanuni ili kuruhusu uhaulishwaji teknolojia kwa Kampuni za Kigeni▪️Ataka Watanzania kuchangamkia Trilioni 5.3 za usambazaji bidhaa na utoaji huduma▪️Rais Samia apongezwa kwa...
View Article