VODACOM YAWAZAWADIA MAWAKALA BORA DODOMA
Mkurugenzi wa M-Pesa Tanzania Epimack Mbeteni (kulia) akimkabidhi zawadi na cheti cha Elikira Ezekiel (katikati), kuwa wakala aliyefanya vizuri zaidi katika robo ya tatu ya mwaka wa fedha wa kampuni ya...
View ArticleRipoti ya Kifedha ya Exim Bank 2024 Yaonesha Mafanikio Makubwa na Ubunifu wa...
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim, Jaffari Matundu (katikati), akizungumza na wanahabari wakati wa kutangaza Ripoti ya Fedha ya 2024 ya benki hiyo, ikionesha mafanikio makubwa ya kifedha na ukuaji...
View ArticleWATENDAJI WA UBORESHAJI TANGA, PWANI WATAKIWA KUFUATA SHERIA, KUHAMASISHA...
Mjumbe wa Tuhe Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Asina Omari akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya siku mbili ya watendaji wa Uboreshaji Mkoa wa Pwani. Mafunzo hayo yamefungwa leo Februari...
View ArticleKAMATI YA KUDUMU YA BARAZA LA WAWAKILISHI MAWASILIANO,ARDHI NA NISHATI...
Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi, Mawasiliano, Ardhi na Nishati Zanzibar, imelipongeza Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) kwa utendaji kazi madhubuti katika usimamizi wa sheria na...
View ArticleUNDP, VODACOM, COSTECH WATANGAZA KUSHIRIKIANA KUENDELEA KUIMARISHA BUNIFU
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Phillip Besiimire (kushoto), Mkurugenzi wa Kituo cha Uendelezaji na Uhawilishaji wa Teknolojia, Dkt. Athman Mgumia (kati) akimwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa...
View ArticleINEC YAVISISITIZA VYAMA VYA SIASA KUWEKA MAWAKALA VITUO VYA KUANDIKISHA...
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele ametembelea na kukagua mafunzo ya vitendo kwa Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo wa Halmashauri ya Jiji la...
View ArticleBenki ya CRDB Yasaini Mkataba wa Kusimamia Mikopo ya 10% Fedha za Halmashauri
Dodoma, Februari 7, 2025 – Benki ya CRDB imefanikiwa kusaini mkataba wa kusimamia utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya halmashauri inayolenga kuwainua wanawake, vijana, na makundi...
View ArticleMFUMO WA USHUGHULIKIAJI WA RUFAA NA MALALAMIKO UTAONGEZA UFANISI KATIKA...
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Sangu akizungumza wakati akifungua mafunzo kuhusu Mfumo wa ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko katika Utumishi...
View ArticleVODACOM YAWAPA WASICHANA DAR ES SALAAM MAFUNZO YA TEHAMA KUPITIA PROGRAM YA...
Mtaalamu wa mifumo ya kompyuta wa kampuni ya Vodacom Tanzania PLC, Naamini Yonazi akiongea na wasichana wanaofanya mafunzo ya Code like a Girl yanayofadhiliwa na kampuni hiyo kupitia asasi ya dLab...
View ArticleTUME YATOA NENO KWA WAENDESHA VIFAA VYA BVR TANGA, PWANI
Na Mwandishi wetu, TangaTume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya Bayometriki kutoa huduma bora kwa wananchi watakaojitokeza katika zoezi la Uboreshaji wa...
View ArticleRC BALOZI BATILDA AWAOMBA VIONGOZI WA DINI WAHIMIZE WAUMINI KUJIANDIKISHA...
Na Oscar Assenga,TangaMKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi, Dkt Batilda Burian amewaomba viongozi wa dini katika mahubiri yao wawahimize waumini kuhakikisha wanajitokeza kujiandikisha Kwenye Daftari la Kudumu...
View ArticleWAKURUGENZI WA UFUATILIAJI NA TATHMINI NGAZI YA WIZARA WAKUTANA KUPITIA...
Na Mwandishi wetu - Iringa.Wakurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini ngazi ya wizara wamekutana leo tarehe 12 Februari 2025 katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Iringa kwa lengo la kupitia Taarifa ya Utendaji...
View ArticleBARRICK YACHANGIA SHILINGI TRILIONI 3.6 PATO LA SERIKALI KWA KIPINDI CHA MIAKA 4
Meneja wa Barrick nchini, Dk.Melkiory Ngido akitoa taarifa ya utendaji wa Barrick na Twiga kwenye kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini.Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya...
View ArticleWABUNGE WAJENGEWA UELEWA JUU YA MAJUKUMU YA TCAA NA MIRADI YAKE
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imefanya mafunzo kwa Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Kamati za Kudumu za Bunge za Hesabu za Serikali(PAC) na Sheria Ndogo juu ya uendeshaji wa...
View ArticleBenki ya CRDB Yatangaza Hatua ya Kihistoria ya Kupanua Huduma Zake Hadi Dubai...
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Slaa (wapili kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila (wapili kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Benki ya CRDB, Dkt. Ally...
View ArticleNCAA: TUTAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU MAPANGO YA AMBONI
Na Oscar Assenga, TANGA.MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imesema kwamba inaendelea na mikakati ya kuboresha miundombinu ya Mapango ya Amboni yaliyopo Jijini Tanga ili yaendelee kuwavutia watalii...
View ArticleATE YATOA MSAADA WA MASHINE ZA KUSAIDIA KUPUMUA WATOTO WACHANGA
Dar es Salaam, Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) kimetoa msaada wa mashine za kusaidia upumuaji kwa watoto wachanga ambao hupata matatizo ya kupumua mara baada ya kuzaliwa. Msaada huo, uliotolewa...
View ArticleWASANII WA FILAMU,WANAHABARI WAZAWA WA MKOA WA TANGA WATUA KUHAMASISHA ZOEZI...
Na Oscar Assenga, TANGAMABALOZI 23 wa Mkoa wa Tanga unaoundwa na Wasanii wa Filamu,Waandishi pamoja na watangazaji wametua Jijini Tanga kwa lengo la kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi...
View ArticleMKOA WA MOROGORO KUFANYA UBORESHAJI WA DAFTARI MACHI MOSI
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele akizungumza wakati akifungua mkutano wa wadau wa uchaguzi kuhusu uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoa wa...
View ArticleCTI Yatoa Wito wa Hatua za Haraka za Sera na Utekelezaji ili Kulinda Maisha...
Mwenyekiti wa zamani wa Shirikisho la wenye Viwanda (CTI) na mwenyekiti wa bodi ya SBL, Paul Makanza akizungumza katika warsha ya siku moja iliyokutanisha wadau wa sekta binafsi na wadau wa maendeleo...
View ArticleBenki ya CRDB yapongezwa kukusanya Sh. Bilioni 323 hatifungani ya Samia...
Dar es Salaam. Tarehe 18 Februari 2025: Ikiwa katika maadhimisho ya miaka 30 tokea kuanzishwa kwake, Benki ya CRDB imetangaza mafanikio makubwa ya hatifungani ya miundombinu ya ‘Samia Infrastructure...
View ArticlePURA ENDELEENI KUWAVUTIA WAWEKEZAJI KATIKA SHUGHULI ZA UTAFUTAJI MAFUTA NA...
Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli( PURA) wakati wa Kikao cha Baraza hilo linalofanyika tarehe 18...
View ArticleWATENDAJI UBORESHAJI WA DAFTARI MOROGORO, TANGA WAHIMIZWA KUZINGATIA SHERIA
Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Balozi Omari Ramadhani Mapuri akizungumza wakati akifunga mafunzo ya siku mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa...
View ArticleMabadiliko ya Kidigitali Sekta ya Utalii: Benki ya Exim Yazindua Suluhisho la...
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Zanzibar, Mh. Mudrick Soraga (kulia), akimsikiliza Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya Exim Tanzania, Shani Kinswaga, wakati wa kongamano la Z-Summit 2025 lililofanyika...
View ArticleMSD YAKABIDHI JENERETA KWA HOSPITALI YA WILAYA YA KITETO
Hospitali ya halmashauri ya wilaya ya Kiteto mkoani Manyara imeondokana na changamoto ya kukatiza baadhi ya huduma za matibabu kama upasuaji na pindi umeme unapokatika baada ya Bohari kuu ya dawa MSD...
View Article