Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UDSM yawaita Wadau wa Elimu kushiriki maadhimisho Wiki ya Utafiti na Ubunifu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.CHUO  Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeutaarifu umma wa Watanzania na kuwaalika wadau wa elimu na maendeleo, kwa ujumla kushiriki katika Maadhimisho ya kumi ya Wiki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Puma Energy Yaanzisha Nishati Safi ya Mradi wa Umeme wa Jua kwa Kiwanda cha...

Morogoro, Tanzania: Kampuni ya Puma Energy Tanzania imetangaza uzinduzi rasmi wa kituo cha umeme wa jua chenye uwezo wa kilowati 570 katika kiwanda cha tumbaku cha Alliance One Tanzania Tobacco Limited...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Dk. Samia Suluhu alipongeza Kanisa la KKKT kwa kuwezesha wenye mahitaji...

Na Mwansishi Wetu, DAR ES SALAAM.RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kuwa utumishi wa dini ni ule unaowasaidia jamii na kuwawezesha wenye mahitaji maalumu kuishi maisha bora huku akilipongeza Kanisa la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAB yaanza kugawa Press Card kwa Waandishi wa Habari

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Zikiwa zimesalia siku 17 kwa Waandishi wa Habari Kujisajili katika Mfumo wa TAI-HABARI ili kuomba Ithibati na Kitambulisho cha Uandishi wa Habari (Press Card), tayari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘Waganga wakuu wa mikoa hakikisheni hospitali za Wilaya zinalea vituo vya afya’

Na Mwandishi Wetu, OR- TAMISEMI.NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia afya Prof. Tumaini Nagu amewaelekeza Waganga Wakuu wa Mikoa (RMO`S) Kuhakikisha hospitali zote za Wilaya nchini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA UCHAGUZI YAPONGEZWA MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU 2025

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonaz akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi la Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kilichokutana Mjini Unguja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vodacom Tanzania Yazindua Kampeni ya Kuadhimisha Miaka 25, Yabeba Ujumbe...

Dar es Salaam, 10 Juni 2025: Katika kuadhimisha miaka 25 ya kuwaunganisha Watanzania, Vodacom Tanzania PLC imezindua kampeni kubwa ya kitaifa inayobeba ujumbe wa “Tupo Nawe, Tena na Tena.” Kampeni hii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJUMBE WA BIASHARA KUTOKA UINGEREZA ATEMBELEA SBL, ASISITIZA DHAMIRA YA...

Mhe. Kate Osamor (kushoto), Mjumbe Maalum wa Serikali ya Uingereza anayeshughulikia Biashara Afrika Mashariki akiskiliza maelezo kutoka kwa Shekar Makasare (kulia), Msimamizi wa Shughuli za Kiwanda cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAPOKEA GAWIO LA TRIL 1 KUTOKA KWA TAASISI ZA UMMA NA MAKAMPUNI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Gawio la Serikali kutoka Mashirika ya Umma na Taasisi mbalimbali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA EXIM YAFANYA KAMPENI YA UCHANGIAJI DAMU NCHI NZIMA KUIMARISHA SEKTA...

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Dar es Salaam: KATIKA kuendelea kudhihirisha dhamira yake ya muda mrefu katika kuimarisha afya ya umma, Benki ya Exim Tanzania, kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya CRDB Yang’ara Katika Tuzo za African Banker 2025: Yatwaa Tuzo ya...

Dar es Salaam, 05 Juni 2025 – Benki ya CRDB imeandika ukurasa mpya wa mafanikio baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo ya Benki Bora kwa Wajasiriamali Wadogo na wa Kati (SME) katika hafla ya tuzo za sekta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKAO KAZI CHA KUPITIA NA KUTHIBITISHA RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAIFA WA...

Na Mwandishi wetu Dodoma.Kikao kazi cha kupitia na kuthibitisha Rasimu ya Mpango Mkakati wa Taifa wa Kuzuia Kuzama Maji chafanyika tarehe 11 Juni, 2025 katika ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Fedha awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali

Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiwasilisha bungeni mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2025/26, bungeni jijini Dodoma.Na Saidina Msangi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISA HABARI TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA KEN GOLD JELA MWAKA MMOJA KWA KUOMBA...

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutujijini Dar es Salaam imemuhukumu kifungo cha miaka miwili jela au fauni ya Sh.1,000,000 Ofisa Habari na Mawasiliano wa Timu ya Mpira wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB Bank Foundation, StartHub Africa zaungana kuwawezesha wanafunzi wa vyuo...

Meneja Uendelezaji Biashara Changa wa CRDB Bank Foundation, Sharron Nsule akitoa elimu ya ujasiriamali kwa wanafunzi walioshiriki semina katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.Dar es Salaam, Tanzania –...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA FANYENI MAZOEZI MARA KWA MARA KUIMARISHA AFYA

 Katika ulimwengu wa leo unaokumbwa na changamoto nyingi za kiafya, viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Lindi wametoa wito maalum kwa vijana na wananchi wote kufanya mazoezi mara kwa mara kama njia ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI AWESO AKAGUA UJENZI WA OFISI ZA RUWASA, AGAWA MAGARI 19 KWA OFISI ZA...

 Na Okuly Julius, DODOMA.Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, amekagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) na kukabidhi magari 19 kwa ajili ya ofisi za makao makuu na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GEORGE MASAJU ATEULIWA JAJI MKUU

Na Happiness Katabazi.RAIS Samia Suluhu Hassan Leo amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George Mcheche Masaju Kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.Kwa Mujibu wa taarifa kwa umma iliyosainiwa na Katibu Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE. SIMBACHAWENE AUNGA MKONO MASHINDANO YA LIGI "SAMIA CUP" AGAWA VIFAA VYA...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, Mhe. George Simbachawene akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Chipogolo, Kata ya Chipogolo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YATOKA RASMI KWENYE ORODHA YA NCHI ZENYE MAPUNGUFU YA KIMKAKATI...

 Na Benny Mwaipaja, Dodoma.Tanzania imeondolewa kwenye Orodha ya nchi zenye mapungufu ya kimkakati katika mifumo ya udhibiti utakatishaji fedha haramu, ufadhili wa ugaidi, na ufadhili wa silaha za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABARAZA, KAMATI ZA HALMASHAURI KUVUNJWA KUFIKIA JUNI 20, 2025.

Na Mwandishi wetu - Dodoma.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Mohamed Mchengerwa amesema kuwa kwa Mamlaka aliyopewa na kuwa mwenye dhamana katika Mamlaka hiyo tayari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA AfDB AHITIMISHA ZIARA YAKE YA KIKAZI TANZANIA

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) anayemaliza muda wake, Dkt. Akinwumi Adesina amemaliza ziara yake ya kikazi ya siku 4 aliyoifanya nchini Tanzania kuanzia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama yabariki Lissu kujitetea kesi ya uhaini

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemruhusu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, kujitetea mwenyewe katika kesi ya uhaini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA JUMUIYA YA TATHIMINI AFRIKA ( AfrEA ) WAFANYIKA...

Na Mwandishi Wetu – Addis Ababa, Ethiopia.Tanzania imeshiriki Maadhimisho ya Miaka 25 ya Jumuiya ya Tathmini Afrika (AfrEA) yanayofanyika kwa siku tatu kuanzia tarehe 16 hadi 18 Juni, 2025, katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAVUNDE ATAKA WATANZANIA KUPEWA KIPAUMBELE KUSAMBAZA BIDHAA NA HUDUMA MIGODINI

▪️Aelekeza mabadiliko ya Kanuni ili kuruhusu uhaulishwaji teknolojia kwa Kampuni za Kigeni▪️Ataka Watanzania kuchangamkia Trilioni 5.3 za usambazaji bidhaa na utoaji huduma▪️Rais Samia apongezwa kwa...

View Article



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>