Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Browsing all 19890 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTALII WA NDANI: TASWIRA ZA JIJI LA LIMA NCHINI PERU

Taswira mbalimbali za Jiji la Lima nchini Peru, hapa ni katika mzunguko wa magari Round About kuingia Ukumbi wa Jeshi la nchi hiyo wenye jina hilo pichani. Kwa upande wa mandhari kiukweli wanajitahidi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAJABU YA KIFO CHA MAMA YAO AKINA MWAIBALE ALIFARIKI SIKU ILE ILE ALIYOZALIWA

Ankal Muhidin Issa Michuzi akimfariji Dotto Mwaibale wakati wa kuuaga mwili wa marehemu Jijini Dar es salaam kabla ya kusafirishwa Mbeya kwa mazishi, wengine katika picha ni pamoja na Asha Kigundula,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAZINDUA RASMI USAMBAZAJI TAKWIMU ZA PATO LA TAIFA, PATO LA MWANACHI...

Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum (katikati) akizindua rasmi Takwimu za Pato la Taifa zilizorekebishwa kwa mwaka wa kizio wa 2007 leo jijini Dar es salaam. Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AISHA MADINDA AZIKWA LEO, KIGAMBONI JIJINI DAR

 Mwili wa Aisha Madinda ukitolewa kwenye gari la kubebea maiti mara baada ya kuwasili nyumbani kwao,Kigamboni.  Mwili wa Aisha Madinda ukiwasili nyumbani kwa ajili ya kuswaliwa kabla ya mazishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI IMEJIPANGA KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA BORA KWA VIJANA ILI WAWEZE...

Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM:Waziri wa Nchi ofisi ya waziri Mkuu, Sera Uratibu na Bunge Mheshimiwa William Lukuvi amesema kwamba serikali imejipanga kuendelea kuweka mazingira bora kwa vijana ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONDIA MAOKOLA AMDUNDA MKALAKALA KWA K,O YA RAUNDI YA 7 NA KUTETEA MKANDA WAKE

Mabondia Antony Peter kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Hamidu Mussa wakati wa mpambano wao Mussa alishinda kwa point mpambano huo.Bondia Selemani Mkalakala akiwa chini kwa konde zito...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA SERIKALI KUHUSU WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA...

NAIBU WAZIRI – ELIMU OFISI YA WAZIRI MKUU - TAMISEMI, Mhe. Kassim Majaliwa akiongea na waandishi wa habari kuhusu taarifa za wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza kwa mwaka 2015. Mkutano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAIMBAJI WA TAMASHA LA KRISMAS MKOANI MBEYA WAELEZEA MAANDALIZI YAO

 Mwimbaji wa muziki wa injili Tumaini Njole akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za kampuni ya Msama Promotion ambayo inaandaa Tamasha la Pasaka litakalofanyika sikukuu ya Krismas tarehe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOJA ZA MSINGI ZA PROFESA ANNA KAJUMULO TIBAIJUKA KWA NINI HAONI MANTIKI YA...

1. Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), inayoongozwa na Zitto Kabwe hakuniita ili kupata nafasi ya kujitetea, kutokana na shutuma ambazo zimekuwa zikielekezwa kwangu, kwamba nilipewa fedha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UEFA GOO NIGHT CLUB KUZINDULIWA MKESHA WA KRISMAS

Kiwanja kipya cha maraha Uefa Goo Night Club kinatarajiwa kuzinduliwa mkesha wa sikukuu ya Krismas jijini Dar es salaam Kiwanja hiki ni cha Kisasa kiko maeneo ya Ukonga Mombasa Barabara ya kuelekea...

View Article

ENJOY: KANSIIME ANNE DRIVES WITH AN EXPIRED PERMIT

Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG

View Article

DIAMOND AKIONGELEA SHOW YA DEC 25, 2014

Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKANDARASI GEOFREY MUNGAI ATOA MSAADA WA KRISMAS KWA YATIMA DBL

Bi  Sarah Mungai akiwa na mmoja kati ya  watoto yatima wa kituo cha DBL mkimbizi Iringa Bi  sarah Mungai akiwa na Mtoto  aliyetupwa na  mama  yake  mzazi ambae anautindia  wa  ubongo  mara  baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YATOA MSAADA KWA KUNDI LA WALEMAVU

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba  akikata utepe kama ishara ya kukabidhi vibanda vya kisasa vya Airtel Money kwa watu wenye ulemavu, wanachama wa Taasisi ya Haki za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA RASMI MAJENGO YA TAASISI YA MAFUNZO YA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (wa tatu kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi Majengo ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania, wakati wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOHNSON LUKAZA NA MDOGO WAKE MWESIGWA WA KESI YA EPA WAACHIWA HURU

Bw. Johnson LukazaBw. Mwesigwa Lukaza Na Happiness Katabazi (UB)HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam imemwachilia huru Mwenyekiti  wa Makampuni ya Proin, Bw. Johnson Lukaza na mdogo...

View Article

DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU WEMA, ZARI, MENINA NA PENNY

Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVCCM WAMPONGEZA MHE RAIS JAKAYA KIKWETE KWA HOTUBA YENYE UFAFANUZI WA...

Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) inampongeza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Profesa Jakaya Mrisho Kikwete kwa...

View Article

SALAMU ZA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA KUTOKA KWA MHE. BALOZI LIBERATA MULAMULA

Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUELEKEA SIKUKUU YA KRISMASI WANAHABARI KULWA NA DOTTO MWAIBALE WAZURU KABURI...

Kulwa na Dotto wakiwa wamekaa juu ya kaburi la baba yao mzee Anyitike Mwakwama Mwaibale aliyefariki January 28 mwaka 2007 huku wakilitizama kaburi la mama yao. Wanahabari Kulwa na Dotto Mwaibale,...

View Article
Browsing all 19890 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>