Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Browsing all 19876 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COASTAL UNION YAMKABIDHI TUZO YA HESHIMA WAZIRI UMMY MWALIMU KWA KUISAIDIA...

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CCM) kushoto akipokea tuzo ya heshima ya kutambua mchango wake kwa kuipandisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA: RAZACK HAMADI SI MFANYAKAZI WA KAMPUNI YA AGGREY & CLIFFORD

Copyright 2007-2017 @KAJUNASON BLOG

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA MWANDISHI WA HABARI CASIAN NYANDINDI UMEAGWA LEO MEI 11, 2018

Mwili wa Mwandishi wa Habari wa gazeti la Majira wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma pia ambaye alikuwa mmiliki wa blog ya nyandindi2006.blogspot.com Casian Nyandindi, umeagwa leo katika hospital ya rufaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA: UTARATIBU MPYA WA MALIPO YA HUDUMA ZA MAJI

Copyright 2007-2017 @KAJUNASON BLOG

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABU WA MIAKA 104 ALIYEJIUA KWA SINDANO AELEZA HISTORIA YA MAISHA YAKE

David Goodall, mwanasayansi aliyeomba kukatisha uhai wake, leo atahitimisha safari yake duniani baada ya madaktari kuchomeka sindano ya sumu katika mshipa.Mzee huyo wa miaka 104, atakaribisha kifo kwa...

View Article


RC MNDEME AIFUTIA LESENI KAMPUNI YA ZUMA CARGO KWA UPOTEVU WA TAN 15 ZA KOROSHO

Mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME ameifutia leseni kampuni ya ZUMA CARGO kwa upotezu wa tani kumi na tano za korosho ambazo hazijulikani ziliko na kuiagizaTaasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO MAY 12, 2018; TAHARUKI SHARTI BODI YA MIKOPO ... AFYA YAMWAGA...

Copyright 2007-2017 @KAJUNASON BLOG

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAKUTAKUWA NA UPUNGUFU WA SUKARI - DKT. TIZEBA

Waziri wa kilimo Mhe. Dkt. Charles Tizeba.Na Bashiri Salum, DodomaSerikali imeagiza sukari kiasi cha tani 70,354.35 kutoka nchi za nje lengo likiwa ni kujipanga ili kuhakikisha kuwa hapatokei upungufu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUWAIT NA TAASISI YA WAMA ZATIA SAINI MKATABA WA KUWASAIDIA WALEMAVU

Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jasem Al-Najem na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete, Jumamosi Mei 12 2018, walitiliana saini mkataba wa ushirikiano kwa ajili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMIA YATOA SAMSUNG S9 NA S9+ KWA WATEJA WAKE

 Mkurugenzi Mkuu wa Jumia Tanzania, Bw. Zadok Prescott , akimkabidhi simu ya Samsung Galaxy S9, mteja Happiness Keto aliyoinunua simu hiyo kwa shilingi 59,000 tu katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGAPE YAENDESHA KONGAMANO KWA WANAFUNZI SHULE 8 ZA KATA YA USANDA SHINYANGA

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la AGAPE, John Myola akifungua mdahalo uliokutanisha pamoja wanafunzi 120 kutoka shule 8 zilizopo katika kata ya Usanda halmashauri ya wilaya ya Shinyanga katika ukumbi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COCA-COLA BONITE YAZIDI KULETA RAHA YA MZUKA WA SOKA NA COKA KANDA YA KASKAZINI

 Washindi wa luninga na pikipiki wakifurahia zawadi zao. Washindi wa luninga na pikipiki wakifurahia zawadi zao.Mmoja wa washindi wa fedha taslimu akipokea zawadi yakeWakati mashindano ya kombe la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC GAIRO AAGIZA WACHIMBAJI MADINI WASIO NA LESENI KUSIMAMISHA UCHIMBAJI MARA...

Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Mhe. Siriel Mchembe akiwa na kamati ya Ulinzi na Usalama mara baada ya kutembelea sehemu ya migodi inayochibwa kinyemela na wachimbaji wasiokuwa na leseni.Moja ya mashine...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILIMANJARO BIA YA TANZANIA KINYWAJI RASMI KOMBE LA DUNIA 2018 NCHINI URUSI

 Meneja wa kiwanda cha Ilala, Calvin Martin na Meneja Masoko George Kavishe, wakiongoza wageni waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa promosheni ya bia ya Kilimanjaro kufanya cheers Maofisa waandamizi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHINDANO LA UTUNZI WA HADITHI LA ANDIKA CHALLENGE LAZINDULIWA JIJINI DAR

 Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Kinondoni, Bw Emmanuel Ntenga akizungumza machache na kuitambulisha meza kuu wakati wa hafla ya uzinduzi wa shindano la Andika Challenge kwa watoto wa shule za msingi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO 14, 2018; SERIKALI YAAGIZA NJE TANI 70,000 ZA SUKARI ... BENKI...

Copyright 2007-2017 @KAJUNASON BLOG

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII LULU MICHAEL KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE

Muigizaji Elizabeth Michael, maarufu Lulu leo Jumatatu Mei 14, 2018 amebadilishiwa adhabu na sasa anatumikia kifungo cha nje kwa amri ya Mahakama Kuu ya Tanzania. Magereza imethibitisha kuhusu uamuzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIAKA 70 YA NAKBA YA WANANCHI WA PALESTINA

Taifa letu la Palestina linaadhimisha kumbukumbu ya miaka 70 ya Nakba (janga), likiendeleza mapambano kabambe ya kurudisha haki zake thabiti za kizalendo, kuondoa athari na matokeo yake ambayo bado...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BITEKO AUNGA MKONO AGIZO LA WAZIRI MKUU KWA VITENDO, ACHANGIA MABATI 100...

Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mkoani Geita ambaye ni Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko akihutubia mamia ya wananchi katika Kijiji cha Kilimahewa kilichopo katika kata ya Bulangwa wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADHIMISHO YA KIMONDO CHA MBOZI KUFANYIKA MWEZI JUNI MKOANI SONGWE

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga akiangalia Kimondo cha Mbozi alipotembelea kijiji cha Ndolezi, wilaya ya Mbozi mkoani Songwe jana kwa ajili ya kuangalia maandalizi ya maadhimisho ya...

View Article
Browsing all 19876 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>