Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Browsing all 19859 articles
Browse latest View live
↧

MADEREVA WALALAMIKIA JENGO LA BIASHARA KUBANA KITUO CHA MAKUMBUSHO

Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MKEWE MAMA JANETH WASHIRIKI IBADA YA KRISMASI...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mke wake Mama Janeth Magufuli wakiwa katika Misa ya Krismasi katika Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida.Hapa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUCHALANGWA MAPANGA NA MWALIMU

Marco Limbe akiwa amepoteza fahamu huku akipatiwa matibabu katika kituo cha afya cha Nyashimo.Na Shushu Joel, BUSEGA - SIMIYU.MWANAFUNZI Marco Limbe (14) aliyemaliza darasa la saba mwaka huu katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONESHO KAHAWA NA UTALII YAFANYIKA MJINI RIYADH, SAUDI ARABIA

 Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, H.E Hemed Mgaza, mwenye suti nyeusi akifanya mazungumzo na wadau mbalimbali wa biashara katika maonyesho yaliyofanyika mjini Riyadh, Saudi Arabia.Na Mwandishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA LA VIJANA CHADEMA ARUSHA MJINI WACHANGIA DAMU HOSPITALI YA MKOA MT....

VIJANA kutoka Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Wilaya ya Arusha Mjini wakiungwa mkono baadhi ya wananchi wengine wamefanya zoezi la kuchangia damu kwa ajili ya kusaidia hospitali ya Mt. Meru...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC GAMBO AWATAKA WAANDISHI KUFANYAKAZI ZAO KWA KUFUATA MAADILI

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akizungumza na waandishi wa habari wa Mkoa wa Arushaa ofisini kwake juzi kutoka vyombo mbalimba vya habari kuhusu sakata la kukamatwa kwa mwandishi wa habari wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPIGA PICHA MPOKI BUKUKU AAGWA JIJINI DAR... KUZIKWA MJINI DODOMA

Jeneza lenye mwili wa mpiga picha maarufu Marehemu Mpoki Bukuku likiwa katika eneo la uwanja wa Shule ya Wazazi, Tabata Kimanga jijini Dar mchana huu tayari kwa kutoa heshima za mwisho Waziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI YA SAME YAPOKEA KWA MIKONO MIWILI KOMPYUTA ZA BAYPORT

Mratibu wa Masoko na Mawasiliano wa Bayport Financial Services, Mercy Mgongolwa (kulia), akimkabidhi Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, Mheshimiwa Said Mecky Sadick moja ya kompyuta sita zilizotolewa na taasisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BWANA KINYORI AUKACHA UKAPELA JIJINI DAR

Bwana na Bibi Kinyori wakionyesha cheti chao cha ndoa mara baada ya kufunga pingu za maisha katika kanisa la KKKT Hananasif, Kinondoni jijini Dar na kufuatiwa sherehe ya kuwapongeza iliyofanyikia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIMBAJI MAARUFU WA KANISA LA EAGT LUMALA MPYA JIJINI MWANZA AFUNGA PINGU ZA...

Mbali ya kuwa Sikukuu ya Krismasi kwa Wakristo duniani, pia jana Disemba 25,2016 ilikuwa siku ya furaha kwa ndugu, jamaa na marafiki wa Bwana harusi Mathew Akrama Rwekila na Bibi harusi Agnes Martine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA MIPANGO YATEMBELEA UJENZI WA JENGO LA III LA ABIRIA UWANJA WA NDEGE...

Na Adili Mhina, DSM.Tume ya mipango imefanya ziara katika mradi wa ujenzi wa jengo la III la abiria katika uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere (Terminal III) jijini Dar es Salaam kwa lengo la kukagua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI JESHI NA WANAHABARI WALIVYOSHEREHEKEA MIAKA 55 YA UHURU KATIKA KILELE...

Safari ya kuekea kilele cha Uhuru inaanza majira ya saa 5:00 usiku kwa kuianza safafri kutoka Kibo Hut.Safari ilikuwa ni usiku kucha Jua likachomoka wakati safari ikiendelea.Kadri kulivyokucha ndivyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO DESEMBA 28, 2016; NYOKA WA MAAJABU AFA NA MTU WAKE ......

Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PUMZIKA KWA AMANI MAREHEMU MPOKI BUKUKU

Alice Mama wa Marehemu Mpoki Bukuku akisaidiwa kuweka shada la maua katika kaburi la mwanaye Mpoki Bukuku wakati wa mazishi hayo yaliyofanyika Msalato nje kidogo ya mji wa Dodoma Marehemu Mpoki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI MPYA WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI ALIPOZUNGUMZA NA VYOMBO VYA...

Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAMBUKIZO YA VVU NA UKIMWI YASHUKA KWA ASILIMIA 20 NCHINI

Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (Tacaids) Dk.Leonard Maboko (katikati), akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo, wakati akitoa taarifa kuhusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII DARASA AFANYA SHOO YA BUREE ILALA JIJINI DAR

Meneja Mkuu wa Kampuni ya Global Publishers ambao ni waandaaji wa shoo ya R.O.M.A na Darassa, Abdallah Mrisho akitoa ufafanuzi kwa wanahabari waliokuwepo Viwanja vya Karume jijini Dar, leo kuhusu shoo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOTO WAZUKA KITUO CHA POLISI MSIMBAZI JIJINI DAR

Kituo cha polisi Msimbazi kipo salama moto ulizuka sehemu ya canteen na umedhibitiwa. Chumba kimoja tu cha VIP ndicho kilishika moto.Habari kamili zitawajia hapo kesho... Copyright 2007-2014 @KAJUNASON...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE MWAMOTO ACHANGIA MILIONI 20 MIRADI YA MAENDELEO KILOLO

Mbunge wa jimbo la Kilolo Venance Mwamoto wa tatu kulia akiongozana na kamati yake ya mfuko wa jimbo kukagua miradi ya kimaendeleo na kuchangia miradi hiyo pichani ni jengo la maabara ambalo limekwama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO DESEMBA 29, 2016; MAPYA YAIBUKA NYOKA WA MAAJABU ... WADAIWA...

Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG

View Article
Browsing all 19859 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>