Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Browsing all 19962 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA MIPANGO YATEMBELEA UJENZI WA KITUO CHA KUZALISHA UMEME KINYEREZI II

Na Adili Mhina, DarTimu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Tume ya Mipango imetembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kuzalisha umeme cha Kinyerezi II kwa lengo la kuangalia maendeleo ya kituo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMWA WAPOKEA MALALAMIKO KUTOKA KWA MAKUNDI MAALUM YALIYOSHIRIKI UCHAGUZI...

Baadhi ya washiriki walikuwa wakijadili ripoti ya tathmini ya jinsi vyombo vya habari (televisheni, magazeti na redio) vilivyoripoti habari zao wakati wakitia nia na kugombea nafasi mbalimbali katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI ASHIRIKI MSIBA WA MZEE MAARUFU WA CHATO ADMIRABILIS MBABE...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole Bi Mugwe Mbabe ambaye ni Mke mkubwa wa Marehemu Mzee Maarufu Admirabilis Mbabe Manyama (82) mara baada ya kuwasili nyumbani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARUA YA BOSI ILIBADILI FIKRA ZANGU KUHUSU PESA KATIKA DAKIKA ZA MWISHO ZA...

Duna Lawrence (78) ni raia wa Togo ambaye alijitosa kwenda nchini Ujerumani kutafuta maisha mwanzoni mwa miaka ya 80. Baada ya kufika huko, alipata kazi, akawa muaminifu kwa Bosi wake ili aweze kupata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAASISI YA MO DEWJI YATOA ZAWADI KITUO CHA TUMAINI LA MAISHA

Taasisi ya MO Dewji Foundation imeweza kuwakumbuka watoto wanaopatiwa matibabu ya magonjwa ya kansa katika kituo cha Tumaini la Maisha kilichopo ndani ya Hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL, TFF KUENDESHA KLINIKI YA AIRTEL RISING STARS

Kampuni ya simu za mikononi ya Airtel Tanzania kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF) itaendesha kliniki ya soka kwa vijana waliong’ara wakati wa michuano ya vijana wenye umri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE MUSSA WA JIMBO LA TANGA AWATAKIA HERI YA MWAKA MPYA WANANCHI WA JIMBO...

Mbunge wa Jimbo la Tanga(CUF) Mussa Mbaruku amewatakia heri ya sikukuu ya mwaka mpya wakazi wa Jimbo lake na kuwataka wajitume zaidi ili kuweza kupata mafanikio.Akitoa salamu hizo kwenye ofisi yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU OFISI YA MAKAMU WA RAIS AKAGUA UJENZI WA MIFUMO YA MAJI TAKA

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Faustin Kamuzora (kulia) akimsikiliza Diwani wa Kata ya Buguruni Mhe. Adam Fugame (Kushoto) wakati wa ziara ya kikazi ya kukagua ujenzi wa mfereji wa maji taka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMKO LA NDG. KABWE ZUBERI RUYAGWA ZITTO KUHUSU RASILIMALI NA MADENI

Ndugu Watanzania, Kama mnavyofahamu kuwa ibara ya 132(4) na (5) na Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Sheria namba 13 ya mwaka 1995 inataka viongozi wote wa umma kujaza fomu za Tamko la Rasilimali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE MUSSA WA JIMBO TANGA AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA WAKULIMA JIMBONI KWAKE

Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Mussa Mbaruku kulia akiteta jambo na Mwenyekiti wa Kikundi cha Golani Shutashuta,Saidi Bakari wakati alipokwenda akikagua mradi wa Kilimo cha Umwagiliaji eneo la Golani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWANDISHI WA HABARI KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA AGIZO...

Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Fadhili Nkurlu, waandishi wa habari na baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Kahama wakiwa katika kikao cha usuluhishiWaandishi wa habari wakiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHINA ANNOUNCES 2017 TIMELINE FOR DOMESTIC IVORY BAN

A shop assistant arranges a carved ivory tusk in the window of a store in Hong Kong on Oct. 15, 2015 (Simon Denyer/The Washington Post)---BEIJING (30 December 2016) — The end of the world’s largest...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MNYIKA APINGA ONGEZEKO LA BEI YA UMEME 8.5%

 Napinga ongezeko la bei ya umeme 8.5% lililotangazwa na EWURA kwa kuwa ni mzigo kwa wananchi na uchumi wa nchi na sababu zilizotolewa hazina msingi.Namtaka Waziri Muhongo atengue uamuzi huo mbovu kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUTUMIE GHARAMA KUBWA KATIKA KUSAIDIA MAENDELEO NA MAISHA YA WALIO HAI

Wabongo mtu akiwa anaumwa au kupata tatizo ambalo linahitaji hela, faraja au vyote ili awe sawa huwa tunaficha au kuuchubua au tunauchuna.Ila akishakufa tu, utaona hata uliyekuwa unamdai nae atakupa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESSA J AMVISHA PETE YA UCHUMBA MPENZI WAKE

Mbunge wa Jimbo la Mikumi ambaye pia ni msanii mkongwe wa Muziki wa Bongo Flava, Joseph Haule ‘Professa J’ (aliyepiga magoti) leo amefunga mwaka 2016 kwa kumvalisha pete ya uchumba mke wake mtarajiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SALAMU ZA MWAKA MPYA 2017 KUTOKA KWA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI

Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA JUMAPILI YA MWAKA MPYA KATIKA KANISA KUU...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba Desiderius Rwoma mara baada ya kuwasili katika Kanisa Kuu la Jimbo katoliki Bukoba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAPA FRANCIS KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 500 YA KANISA LA KILUTHERI

Papa Francis.Mwinjilisti wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Mtaa wa Kivule, Ukonga Dar es Salaam Michael Mgaya (wa pili kushoto) akiwa na wazee wa kanisa hilo baada ya kumalizika kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE OFISI YA MBUNGE JIMBO LA MIKUMI

Mkulima mmoja aitwaye OMARY SULULU mapema Leo tar 1 January 2017 ameshambuliwa na kujeruhiwa vibaya kwa kukatwa na panga kichwani na mfugaji kwenye kijiji cha MAMOYO kata Ya MABWEREBWERE Jimbo La...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA UNENEPE; 2016 NENDA BABA TUNASHUKURU KWA YOTE

1. Yametumbuliwa majipu mpaka chunusi nenda baba.2. Umefanya kabeji iwe nyingi kuliko nyama siku ya Christmas nenda baba3. Umefanya tujue kulikuwa faru John na faru Khadija yatosha baba.4. Ajira...

View Article
Browsing all 19962 articles
Browse latest View live
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>