Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Viewing all 19859 articles
Browse latest View live

JESHI LA POLISI MKOANI TANGA LINAMSHIKILIA MKAZI MMOJA KWA KOSA LA KUMUINGILIA KINYUME NA MAUMBILE SHEMEJI YAKE

$
0
0

TAARIFA RASMI YA RAIS DKT. MAGUFULI ALIYOITOA JUU YA MAGUMU KWA WATENDAJI WABOVU WA SERIKALI

$
0
0
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Ikulu Dar es Salaam leo, kuhusu uamuzi wa Rais Magufuli kutengua uteuzi wa Mkurugenzi wa NIDA, Dickson Maimu. PICHANA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
---
Rais Magufuli ameamuru kurudi nyumbani mabalozi wawili haraka akiwemo Dr Batilda Buriani, Dr James Nsekela wa Italia na Peter Kalaghe wa Uingereza

Pia Mkurugenzi mkuu wa NIDA Bw Mwaimu amesimamishwa kazi kuanzia sasa.

Akitangaza hatua hiyo, Katibu mkuu kiongozi Ombeni sefue amesema Batilda na mabalozi wengine watano wamekuwa hawafanyi kazi kikamilifu ya kuiwakilisha nchi kama jinsi majukumu yao yanaavyoeleza.

Sefue amewataka mabalozi hao watatu kuondoka leo hii katika nchi waliko na kurudi Tanzania

Kuhusu Mwaimu, Sefue amesema yeye na vigogo wengine watatu wa NIDA wameaimamishwa kazi mara moja.

Aidha Rais Magufuli amemfukuza kazi Katibu Tawala mkoa wa Katavi Madeni Kipande kwa kushindwa kazi na Rais kutokuridhishwa na utendaji kazi wake.

Kipande aliteuliwa na rais mstaafu Jakaya Kikwete kuwa katibu tawala Mkoa wa Katavi wiki moja kabla ya Magufuli Kuapishwa.

=============
Kwa ufafanuzi zaidi:
=============

1. Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)

1.1 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, ametengua uteuzi wa Bwana Dickson E. MAIMU, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kuanzia leo, tarehe 25 Januari, 2016.

1.2 Aidha, baada ya utenguzi huo, Bwana Dickson E. MAIMU amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi, pamoja na wafuatao:

1.2.1 Bwana Joseph MAKANI, Mkurugenzi wa TEHAMA
1.2.2. Bi Rahel MAPANDE, Afisa Ugavi Mkuu
1.2.3 Bi Sabrina NYONI, Mkurugenzi wa Sheria
1.2.4 Bwana George NTALIMA, Afisa usafirishaji

1.3 Taarifa zilizomfikia Rais zinaonesha kuwa NIDA hadi sasa imetumia Sh.179.6 bilioni. Kiasi hiki ni kikubwa na Rais angependa ufanyike uchunguzi na ukaguzi jinsi fedha hizi zilivyotumika, maana Rais amekuwa akipokea malalamiko ya wananchi kuhusiana na kasi ndogo ya utoaji wa Vitambulisho vya Taifa.

1.4 Hivyo, Rais ameelekeza Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) wafanye ukaguzi maalum wa manunuzi yote yaliyofanywa na NIDA.

1.5 Rais pia ameelekeza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali afanye ukaguzi maalum wa hesabu za NIDA, ikiwemo ukaguzi wa “value for money” baada ya kuthibitisha idadi halisi ya vitambulisho vilivyotolewa hadi sasa.

1.6 Rais vile vile ameelekeza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ifanye uchunguzi kujiridhisha kama kulikuwa na vitendo vya rushwa au la.

2.0 Wizara ya Mambo ya Nje, Afrika Mashariki na Ushirikiano wa Kikanda na Kimataifa

2.1 Aliyekuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwenye Serikali ya Awamu ya Nne, Mhe. Mahadhi Juma MAALIM ameteuliwa kuwa Balozi wa kwanza wa Tanzania nchini Kuwait, kufuatia uamuzi wa Serikali kufungua Ofisi ya Ubalozi katika nchi hiyo rafiki.

2.2 Rais ameagiza Wizara ya Mambo ya Nje, Afrika Mashariki na Ushirikiano wa Kianda na Kimataifa kuwarejesha nyumbani mara moja Mabalozi wawili ambao mikataba yao imeisha. Leo hii Mabalozi hao wanatakiwa kukabidhi kazi kwa Afisa Mkuu au Mwandamizi aliye chini yao. Mabalozi hao ni:

2.2.1 Bi Batilda Salha BURIANI, aliyeko Tokyo, Japan

2. 2.2 Dkt. James Alex MSEKELA, aliyeko Rome, Italia.

2.3 Rais amemrejesha nyumbani Balozi wa Tanzania aliyeko London, Uingereza, Bwana Peter Allan KALLAGHE. Anarejea Wizara ya Mambo ya Nje, Afrika Mashariki na Ushirikiano wa Kikanda na Kimataifa atakapopangiwa kazi nyingine.

2.4 Kwa maana hiyo, vituo vya Ubalozi vifuatavyo viko wazi:

2.4.1 London, kufuatia kurejea nchini kwa Balozi Peter A. KALLAGHE

2.4.2 Brussels, kufuatia aliyekuwa Balozi, Dkt. Deodorous KAMALA kuchaguliwa kuwa Mbunge.

2.4.3 Rome, Italia, kufuatia kuisha kwa mkataba wa Dkt. James Alex MSEKELA.

2.4.4 Tokyo, Japan, kufuatia kuisha kwa mkataba wa Bibi Batilda BURIANI

2.4.5 Kuala Lumpar, Malaysia, kufuatia aliyekuwa Balozi, Dkt. Aziz Ponray MLIMA, kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Afrika Mashariki na Ushirikiano wa Kikanda na Kimataifa.

2.4.6 Brasilia, Brazil, kufuatia kustaafu kwa aliyekuwa Balozi, Bwana Francis MALAMBUGI.

3.0 Tawala za Mikoa

3.1 Rais ametengua uteuzi wa Eng. Madeni Juma KIPANDE kabla hajathibitishwa kwenye cheo cha Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi kutokana na utendaji kazi usioridhisha.

3.2 Nachukua nafasi hii kuwahimiza viongozi wote katika Utumishi wa Umma, na watumishi wote wa umma, kubadilika kwa dhati kwenye utendaji wao na uadilifu wao.

3.3 Napenda kusisitiza kuwa Rais na sisi tunaomsaidia hatuoni raha kuchukua hatua dhidi ya viongozi na watumishi wengine. Tungependa kila mtu mwenyewe ajirekebishe na kutomfikisha Rais mahali ambapo inabidi amchukulie hatua. Mambo yafuatayo ni muhimu:

4.0 Utumishi wa Umma

4.2.1 Kila kiongozi na kila mamlaka ya nidhamu isipate kigugumizi kusimamia utendaji na maadili ya kazi.

4.2.2 Kila kiongozi na kila mamlaka ya nidhamu asipate kigugumizi kuchukua

hatua za nidhamu, lakini afanye hivyo kwa kuzingatia kwa ukamilifu sheria, kanuni na taratibu katika Utumishi wa Umma.

4.2.3 Lazima uongozi na watumishi wa umma wawahudumie wananchi kwa haki, weledi, uadilifu na heshima. Kwa sababu hiyo:

a) Kila ofisi ya Serikali iwe na dawati la kusikiliza shida za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.

b) Kwenye kila Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya wajenge uwezo wa kushughulikia shida za wananchi kwa ukamilifu na kwa wakati. Kwa muundo wa Serikali yetu hakuna sababu kwa mwananchi kufunga safari mpaka Ikulu Dar es Salaam kwa kuamini kuwa ni Rais tu anayeweza kumaliza matatizo yake, maana wawakilishi wa Rais wako kila pembe ya nchi yetu. Ikibidi wananchi wafike Ikulu ina maana hao wawakilishi wa Rais hawakutimiza wajibu wao.

c) Kuanzia sasa watumishi wote wa umma wavae majina yao ili iwe rahisi kwa mwananchi kumtambua anayemhudumia na hivyo kumsifu mtumishi wa umma anayewahudumia kwa weledi, uaminifu na kwa wakati, na kumtolea taarifa yule anayefanya mambo ya hovyo.

d) Kila ofisi ya Serikali iwe na utaratibu wa kupokea maoni ya wananchi kuhusu huduma inayotolewa kwenye ofisi hizo, na kushughulikia haraka maeneo yote ambayo wananchi wataonesha kutoridhika na huduma.

Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Arusha
25 Januari, 2016

DTB YAUAGA MWAKA 2015 KWA STYLE YA KIPEKEE

$
0
0
Wafanyakazi wa Tawi la Benki ya DTB Makao Makuu wakiwa katika picha ya pamoja baada ya tawi lao kupata tuzo ya Tawi Bora Tanzania 2015 kati ya matawi 24 ya benki hiyo ambapo 10 yapo Dar es Salaam na 14 mikoani. Meneja wa Tawi hilo, Shahista Karim (katikati) akiwa ameshikilia tuzo hiyo aliyokabidhiwa na Mkurugenzi Mkuu (hayupo pichani) katika sherehe za kufunga mwaka zilizofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Ledger Plaza ulioko Bahari Beach.
Pichani chini: Wanawake wa benki ya DTB wakicheza muziki wa asili katika
sherehe za kuaga mwaka katika usiku uliokuwa na kauli mbiu ya ‘Usiku wa Afrika’.
Sherehe hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Ledger Plaza ulioko katika Hoteli ya Bahari
Beach jijini Dar es Salaam. Kati ya mambo ambayo sherehe hiyo ilisherehekea ni
pamoja na kutambua mafanikio benki hiyo ilipata katika mwaka 2015. Kati ya
matawi yote 24 nchini, Tawi la Masaki na lile la Makao makuu yaliibuka washindi
na kujizotea tuzo. DTB ina matawi 10 Jijini Dar es Salaam na 14 mikoani.
Baadhi ya washiriki wakipakua chakula katika ghafla hiyo
Dance ilisakatwa chapati maelezo, JUU na CHINI baadhi ya wafanyakazi wa DTB kutoka katika matawi mbalimbali ya Benki hiyo wakiwajibika ipasavyo.

RAIS MAGUFULI AMPONGEZA RAIS MSTAAFU KIKWETE

$
0
0
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU

Simu: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: press@ikulu.go.tz
Tovuti : www.ikulu.go.tz              

Faksi: 255-22-2113425




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amempongeza Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mheshimiwa Ban Ki-moon kuunda jopo la watu mashuhuri watakaomshauri juu ya namna bora ya kuendeleza na kutekeleza malengo ya maendeleo endelevu hususani katika afya ya uzazi ya Mama na mtoto.

Jopo hilo la watu mashuhuri linaongozwa na wenyeviti wenza ambao ni Rais wa Chile Mheshimiwa Michelle Bachelet na Waziri Mkuu wa Ethiopia Mheshimiwa Hailemariam Desalegn, huku Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete na Rais Mstaafu wa Finland Mheshimiwa Tarja Halonen wakiteuliwa kuwa wenyeviti mbadala.

Katika Pongezi hizo Rais Magufuli amesema kuteuliwa kwa Rais Kikwete kuwa miongoni mwa jopo la kumshauri Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kumeijengea heshima Tanzania na kumechochea matumaini ya mafanikio ya kukabiliana na changamoto za afya ya mama na mtoto hususani kwa nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania.

Rais Magufuli ameahidi kuwa serikali yake ya awamu ya tano itatoa ushirikiano katika kutimiza malengo ya maendeleo endelevu ambayo jopo hilo litamshauri Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ikiwemo katika kuimarisha afya ya uzazi wa mama na mtoto.

Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es salaam
25 Januari, 2016

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUIMARISHA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA BARAZA LA TAIFA LA HIFADHI NA USIMAMIZI WA MAZINGIRA-NEMC

$
0
0
Katika kikao kilichoitishwa na Mhe. January Makamba (Mb), Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira tarehe 24 January 2016, kuhusu kuimarisha utendaji ndani ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira-NEMC maamuzi yaliyofikiwa ni kama ifuatavyo:

1. Kuhusu suala la kiwanda cha kusindika minofu ya punda mkoani Dodoma, imegundulika kulikuwa na ukiukwaji mkubwa, wa makusudi na wa wazi wa miiko ya kazi kwa watumishi wa NEMC walioshughulika na kiwanda hicho. Hivyo, Mhe. Makamba ameagiza watumishi wa NEMC wafuatao wasimamishwe kazi mara moja:

a. Dkt. Eladius Makene -Afisa Mazingira Mwandamizi,

b. Wakili Heche Suguta Manchare - Mwanasheria Daraja la II

c. Mhandisi Boniface Benedict Kyaruzi, Afisa Mazingira

Hatua nyingine za kinidhamu na kisheria zitafuatia

2. Vilevile, imebainika kwamba usimamizi wa watumishi wa NEMC siyo makini na thabiti na kusababisha malalamiko mengi kuhusu utendaji wa Baraza. Hivyo, Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Mhandisi Bonaventura Baya apewe barua ya onyo kalian la mwisho kwa udhaifu katika usimamizi wa watumishi wa Baraza.

3. NEMC kama chombo muhimu nchini kilichopewa jukumu la kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira inatarajiwa kazi zake zifanyike kwa ufanisi wa kiwango cha juu kulingana na majukumu yaliyoko kwenye Sheria. Hivyo, kwa mapungufu yanayojitokeza Mhe. Makamba, ndani ya wiki moja ataunda jopo la wataalamu wasiozidi watano ili kutathmini utendaji wa NEMC na changamoto mbali mbali katika usimamizi wa hifadhi ya mazingira na kuishauri Serikali ipasavyo.

4. Ili kuimarisha ufanisi na udhibiti wa utendaji wa NEMC, ndani ya wiki moja litatolewa Tangazo litakalokuwa na mambo yafuatayo: Anwani ya barua pepe (email), Nukushi (fax), Namba ya simu, Namba ya Whatsapp ili mtu yeyote mwenye malalamiko au aliyewahi kuombwa rushwa chochote na watumishi wa NEMC ambacho ni kinyume na maadili ya kazi yao atoe taarifa mara moja ili uchunguzi ufanyike na hatua zichukuliwe.

5. Kutokana na mapungufu yanayojitokeza katika utekelezaji wa Tathmini ya Athari kwa Mazingira, ndani ya wiki moja, NEMC ipitie upya orodha ya wataalamu na taasisi elekezi zilizosajiliwa na kufuta wataalamu na taasisi zote ambazo zimekuwa zikikiuka maadili ya kazi zao likiwemo suala la kuwasilisha taarifa zilizo chini ya viwango, kuchelewesha kazi za wateja wao na kutowasiliana na wateja wao kuhusu hatua za utekelezaji wa maombi yao.

6. Ndani ya wiki tatu uitishwe mkutano wa dharura wa Bodi ya NEMC kujadili na kufanya maamuzi juu ya changamoto za utendaji katika Baraza.

IMETOLEWA NA
IDARA YA MAZINGIRA,
OFISI YA MAKAMU WA RAIS
TAREHE 24.01.2016

KAIMU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU ATANGAZA KIHAMA KWA WALA RUSHWA HASA WATUMISHI WA UMMA

$
0
0
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru), Kamishna Valentino Mlowola akizungumza na wanahabari.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuuwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru), Kamishna Valentino Mlowola (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini jijini Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu mikakati mbalimbali ya taasisi hiyo ya kupambana na rushwa nchini hasa kwa watendaji wa Umma na kesi zinazochunguzwa ili watuhumiwa wafikishwe mahakama wakati wowote baada ya kukamilika kwa uchunguzi wake.
 Wanahabari wakichukua taarifa hiyo. Kulia ni John David wa Gazeti la Majira.
 Mwendeshaji wa Mtandao wa Fullshangwe, John Bukuku (kulia), akiuliza swali katika mkutano huo.
Baadhi ya wakurugenzi wa Taasisi hiyo wakiwa katika mkutano huo.
---
Na Dotto Mwaibale

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru), imetoa onyo kwa taasisi nyeti nne hapa nchini ikiwemo wanaohusika na matumizi ya fedha za Umma kufuata sheria, taratibu na kanuni.

Pia,Takukuru inashughulikia kukamilisha kesi kubwa 36, zinazowahusu watumishi wenye ushawishi na hadhi kubwa hapa nchini ambapo kati ya hizo zipo zilizokamilika na kupelekwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka.

Akizungumza jijini Dar es Salaam leo , Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo, Valentino Mlowola alisema kumekuwepo na malalamiko mengi kwa wananchi kuwajulisha matendo ya rushwa na ufisadi yanayoendelea hapa nchini.

Alisema kutokana na hali ya wananchi kuona nia ya serikali ya awamu ya tano katika kushughulikia matatizo ya rushwa na ufisadi hapa nchini ametoa ovyo kwa maofisa wa umma wanaofanya rushwa na ufisadi kuwa sehemu yao ya kazi na miradi ya kuwaingizia kipato.

"Natoa onyo kwa maofisa wa umma ambao wamefanya rushwa na ufisadi kuwa ni sehemu ya kazi zao na miradi ya kuwaingizia kipato, wajitafakari kabla hawajaamua kujihusisha na vitendo vya rushwa,"alisema.

Alisema  hawatasita kuchukua hatua kali za kisheria kwa watumishi watakaojiingiza katika kulihujumu taifa na wananchi kwani wananchi wanakiu ya kupata maendeleo na maisha bora na kuwataka watambue wananchi wa jana si wa leo kwani wamedhamiria kuunga mkono juhudi za serikali yao.

Mlowola alitoa ovyo kwa maofisa maduhuli na watekelezaji wa jukumu la kukusanya kodi za wananchi kwa kutomuonea mtu haya kwa atakayejihusisha na ubadirifu wa fedha na mali ya umma.

"Wakusanye kodi halali ya serikali kwa kufuata sheria, taratibu na Kanuni zinazowaongoza kukusanya kodi, tutachukua hatua stahiki pale kutakapokuwa na ukiukwaji wa sheria, taratibu na kanuni zilizopo,"alisema.

Pia, Mlowola alitoa ovyo kwa watakaohusika kwenye matumizi ya fedha za umma kwamba wafuate sheria, taratibu na kanuni  zinazowaongoza kwani taasisi hiyo haitawavumilia watakaokiuka fedha za serikali isiyo halali.

Mbali na hilo, pia Kaimu huo alitoa onyo kwa watumishi wa umma wenye jukumu la kuhudumia mahitaji ya umma kwa kutojihusisha na rushwa kwa kutekeleza majukumu yao katika muda uliotakiwa, weledi na uaminifu.

Alisema taasisi hiyo haipo kwa lengo la maslahi ya watu wabadhilifu wa mali ya umma kwani uchunguzi wa kesi ya kuisababishia hasara serikali shilingi bilioni 8.5 kutokana na ukwepaji wa kodi wa kampuni ya Mafuta ya Lake Oil kwa kufanya udanganyifu kuuza mafuta ndani ya nchi Petrol lita 17,461,111.58 kwa kudanganya zilisafirishwa umefikia hatua nzuri.

"Takukuru imekamilisha shauri la hili na mtuhumiwa wamepewa miezi miwili kurejesha mikononi fedha zote na kuwarudisha mahakamani endapo watashindwa kurejesha kiasi hicho,"alisema.

Alisema mbali na shauri hilo, wapo kwenye hatua nzuri ya kukamilisha uchunguzi wa kesi ya hati fungani ya malipo yaliyolipwa na kampuni ya Enterprise Growth Markert Advisor(EGMA), kiasi cha dola 6,000,000 kwa lengo la kuisaidai Tanzania kupata mkopo wa dola 600,000,000.

"Takukuru imebaini fedha hizo dola 6,000,000 zilitakatishwa na watumishi wa umma wasio waaminifu wakishirikiana na baadhi kutoka sekta binafsi huku wakijua fedha hizo wamezipata kwa njia haramu,"alisema.

Akizungumzia hatua aliyochukua rais, Dk. John Magufuli kwa kutengua uteuzi wa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa RAHCO, Mhandisi Benhadard Tito kwa tuhuma zinazomkabili tayaari wanachunguza shirika hilo la reli.

Alisema kulikuwepo na ukiukwaji wa kuwapata wazabuni kwenye ujenzi wa reli ya kisasa ya kimataifa(Standard Gauge) unaosimamiwa na Shirika la Hodhi la Reli Nchini(RAHCO), wanamekamatwa ikiwemo raia wa Kenya aliyekuwa kwenye mchakato huo, Kanji Muhando.

Kaimu huyo alisema shauri la kesi ya mabehewa ya kokoto 25 ya shirika la reili nchini (TRL), ya kukiuka sheria ya manunuzi ya umma Na.21/2004 pamoja na kanuni zake kutoka kampuni ya Hindustha Engineering and Industries Limited limekamilika.

"Uchunguzi umekamilika na tumeshapeleka kwa mkurugenzi wa Mashtaka kuomba kibali cha kuwafikisha watuhumiwa waliobainika kujihusisha na matendo ya rushwa na ukiukwaji wa sheria, taratibu na kanuni za ununuzi wa umma mahakamani,"alisema. 

Alisema rais alijipa kazi ya kutumbua majipu hivyo aliwasihi watumishi wa taasisi hiyo kutumikia wananchi kwa eledi huku akibainisha tayari wanatekeleza azma na dhamira ya rais ya kupambana na rushwa.

Akitolea ufafanuzi swala la kumsubiri rais kutumbua majipu ndio taasisi hiyo ifanye ufafanuzi, Mlowola alisema taasisi hiyo imejipanga vilivyo tangu Novemba 20 mwaka jana wakati rais alipohutubia bungeni alipoonesha dhamira ya na nia ya dhati ya kupambana na rushwa na ufisadi bila kumuonea mtu haya.

"Nitoe rai kwa wananchi kutoa taarifa ili tuweze kujua kabla hatujapigwa, tukiweza kuisaidia serikali kuokoa fedha kabla hatujapigwa zitasaidia wananchi  kutoa elimu bure, upatikanaji wa dawa na mishahara mizuri,"alisema.

Alisema tayari wameshaanza kuchunguza madai ya aliyekuwa mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), kwani tayari wapo hata viongozi wakubwa.

"Siwezi kusema kuwa kulikuwa na ulegevu, na hatua zimechukuliwa nchini imefikisha mhakamani mawaziri ila nchi ipo kwenye ufagio mpya hivyo tumeweka nguvu zaidi na hali zaidi,"alisema. 

Akizungumzia maofisa takukuru waliofukuzwa kazi a rais baada ya kukiuka maagizo ya rais ya kupata kibali cha kusafiri nje, alisema maofisa hao walikwenda kwenye mkutano wa taaisis za kupambana na rushwa uliofanyika Congo-Kinshasa.

FURSA KWA WAHITIMU WA ELIMU YA JUU NCHINI KUPATA UJUZI WA KAZI (INTERNSHIP) KUTOKA UNIDO NA CHUO KIKUU CHA MZUMBE KAMPASI YA DAR ES SALAAM

$
0
0

ENG. GEORGE ISAI SAMBALI APPOINTED ACTING DIRECTOR GENERAL OF TANZANIA AIRPORTS AUTHORITY (TAA)

$
0
0
The Minister for Works,Transport and Communication, Prof. Makame Mbarawa has appointed Eng.GeorgeIsai Sambali (51), Acting Director General  of Tanzania Airports Authority (TAA).
According to the Permanent
Secretary, Ministry of Works, Transport and Communication, (Transport Sector),Dr. Leornard Chamuliho, theappointment is effective 20th January,2016.

Eng. Sambali takes over from thelate Eng. SuleimanS. Suleiman who passed away on 18th January, 2016
while doing swimmingexercises at Ferry-Kigamboni area within the city of Dares Salaam.
Born in 1965 in Tabora region,Eng. Sambali holds Masters Degree of Sciencein TransportationEngineering
(Transport and Road) from Netherlands that he attained in 2001 and BSc. CivilEngineering from the University of Dar es Salaam (UDSM) attained in 1995.  He has attended numerous local andinternational trainings in civil aviation and in 2015 was awarded a Post-Graduate Diploma in International Airports Professionals (AIP) under AMPAPprogram in Canada.  


 Also he holds a Diploma inAirport Engineering from Nanyang Technical University in Singapore and is agraduate of Airport Management Professional Accreditation Programme (AMPAP)under ICAO and ACI. He also holds a Diploma in Airports Executive Leadership
from Concord University in Canada.Eng. Sambali who was employed by
TAA in 2001 as a Manager - Design, Planning and Evaluation is registered withseveral professional bodies including the Engineers Registration Board (ERB),Institute of Engineers Tanzania (IET) and Forum for Rural Transport Development(IFRTD).

In 2012 he was appointed ActingDirector of Engineering and Technical Services (DETS) and later from 2013 wasworking as Advisor to the TAA Director General up to 2015 when he became ActingDirector of Julius Nyerere International Airport (JNIA), the post he held untilJanuary 20, 2016 when appointed the Acting Director General of TAA.


Before joining TAA, Eng. Sambaliworked as a Research Fellow on urban transport at the University of Dar esSalaam. 

ISSUED BY THE LEGAL AND 
PUBLIC
RELATIONS UNIT  – TAA
20th JANUARY, 2016

CHAMA CHA WAENDESHA BODABODA JIJINI ARUSHA CHAIOMBA SERIKALI KUONDOA UTATA ULIOPO KATI YAO NA WAENDESHA PIKIPIKI ZA KAWAIDA

$
0
0

 Waendesha pikipiki wakiwa mbele ya ofisi ya Mkuu wa mkoa.
Na Vero Ignatus , Arusha.
Chama cha waendesha bodaboda Jijini Arusha ( UWAPA) chaiomba serikali kutatatua utata uliopo kati ya waendesha bodaboda na waendesha pikipiki za kawaida kwa kuwawekea alama maalumu ambayo itawatambulisha, hii ni kutokana na maandamano ambayo yamefanyika siku ya tar 25./1 /2016 kwani ni kinyume kwakuwa chama hakina taarifa yeyote kuhusu maandamano hayo. 
 Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa UWAPA bwana Godlight Rugemalila ambapo amesema ametoa taarifa polisi kutokana na maandamano hayo na amesema jambo walilolifanya siyo sahihi kwa hao walioratibu maandamano hayo ,na amewataka waendesha bodaboda wote kama kuna jambo lolote watalipata ofisini wafuate utaratibu wasikurupuke.
 Amesema kuwa yapo makundi ya aina mbili kwa waendesha bodaboda,kundi la kwanza ni walimesajiliwa na UWAPA hawana vituo maalum , kundi la pili ni waendesha pikipiki za kawaida hawa hawajasajiliwa na idadi yao ni kubwa ambao huwaharibia wale ambao wanafanya biashara halali ya kubeba abiria.
 Amesema kuwa wao kama UWAPA hawajapanga maandamano walipata taarifa kutoka kwa watu binafsi na walishtushwa kusikia kuna maandamano hayo na ameongeza kuwa wanaendelea kufanya utafiti kwa kushirikiana na jeshi la polisi ili kufahamu ni wakina nani wanahusika kuratibu maandamano hayo.
Amewataka waendesha bodaboda wafuate sheria za usalama barabarani kama zinavyoelekeza, wawe na leseni, wavae kofia ngumu ,wapaki kwenye vituo vilivyosajiliwa.
Pia amewashauri abiria wanaotumia usafiri huo wachukue bodaboda zilizopo kwenye vituo kwani akipata tatizo lolote ni rahisi yeye kusaidika tofauti na akichukua pikipiki ambayo ameiona barabarani inapita utakosa pa kupeleke malalamiko yako maana kila kituo kina kiongozi. 
 Ameainisha waendesha bodaboda waliosajiliwa na wanaotambulika hadi sasa jumla yao ni 2950 ,vituo vilivyosajiliwa 144 na vituo bubu ambavyo bado na vinatazamia kupata usajili ni 55. 
Hivyo amewataka waendesha pikipiki wote wajisajili kwenye chama hii ni kwa faida yao maana watatambulika watasaidika mara wapatapo tatizo na hii itawaepusha kuingia kwenye lawama za mara kwa mara kuwa waendesha pikipiki ni wakwapuaji na wanatumika kwenye matukio ya uhalifu.
 Amehitimisha kwa kusema kuwa UWAPA ni umoja wa wawaendesha bodaboda jijini Arusha na umoja huu ulisajiliwa marchi 2012 na unatambulika kiserikali, lengo ni kuwaleta pamoja waendesha bodaboda na huwa wanapatiwa mafunzo na RTO chini ya kitengo cha usalama barabarani Amewataka wananchi wafahamu kuwa wapo waendesha bodaboda hawa wanapaki maeneo yaliyoidhinishwa na ni vituo halali na waendesha pikipiki ni yeyeote yule unayeweza mchukua barabarani hana kituo. 
Maandamano hayo yalifanyika kuelekea kwa mkuu wa mkoa wa Arusha wakiwa na madai ya wakimtaka mkuu huyo wa mkoa atoe tamko kuhusu kusumbuliwa kwao na askari wa usalama barabarani .

ASKARI POLISI WOTE MAKAMBINI WANALIPIWA UMEME NA SERIKALI - JESHI LA POLISI

$
0
0
 Katika gazeti la Tanzania Daima ukurasa wa 5, toleo namba 4070 la tarehe 25 Januari, 2016, lilichapisha habari yenye kichwa cha habari Polisi “waisoma” namba. Sehemu ya taarifa hiyo inaeleza kuwa askari Polisi hivi sasa wanatakiwa kujilipia gharama za umeme. 

Jeshi la Polisi nchini, linakanusha vikali taarifa hiyo kwamba siyo sahihi. Ukweli ni kwamba askari polisi wote makambini wanalipiwa umeme na serikali,  ikiwemo wale ambao nyumba zao zimefungiwa luku kama njia ya kuboresha huduma na matumizi sahihi ya umeme. Baada ya askari kununua umeme hutakiwa kuwasilisha stakabadhi ya malipo ya umeme kwa ajili ya kurudishiwa kiasi cha fedha walichonunulia umeme kila mwisho wa mwezi. 
Aidha, habari iliyochapishwa na Tanzania Daima ililenga kupotosha umma na mwandishi wa habari hiyo hakutafuta ufafanuzi kutoka kwenye mamlaka husika. 
Kufuatia hali hiyo, Jeshi la Polisi nchini, linamtaka mhariri wa gazeti la Tanzania Daima na waandishi wake wa habari kuwa makini na habari wanazoziandika hasusani taarifa zinazohusu vyombo vya ulinzi na usalama ili kuepuka madhara ya kiusalama yanayoweza kutokea kutokana na habari wanazozitoa zisizo na usahihi.

Imetolewa na:-
Advera Bulimba -SSP
Msemaji wa Jeshi la Polisi,
Makao Makuu.

JK AKABIDHI REPOTI YA JOPO LAKE KWA BAN KI MOON NAYE AMSHUKURU

$
0
0
Mwenyekiti wa Jopo la Ngazi ya Juu kuhusu Mwitikio wa Kimataifa wa Majanga ya  Kiafya, Rais Mstaafu Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa  Ban Ki Moon Ripoti ya  Jopo lake katika hafla fupi iliyofanyika  Jumatatu  Makao  Makuu ya Umoja wa Mataifa. Kushoto ni Bw. Rajav Shah (USA) na Bw. Marty Natalegawa ( Indonesia) ambao ni  sehemu ya wajumbe wa Jopo hilo.

Na Mwandishi Maalum, New York 
Mwenyekiti wa Jopo la Ngazi ya juu kuhusu Mwitikio wa Kimataifa wa Majanga ya Kiafya, Rais Mstaafu, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, jana Jumatatu, amemkabidhi Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon, Ripoti ya Jopo lake. 
Mhe. Jakaya Kikwete aliteuliwa na Ban Ki Moon, kuongoza Jopo lililokuwa na wajumbe watano mwezi Aprili 2015. kwa mujibu wa hadidu za rejea Jopo hili lilitakiwa kutekeleza majukumu yake kuanzia mwezi Mei hadi Desemba 2015. 
Akipokea ripoti hiyo, katika hafla fupi iliyofanyika Ofisini kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa . Ban Ki Moon, pamoja na kumshukuru Mwenyekiti wa Jopo Mhe. Jakaya Kikwete pamoja na timu yake, amesisitiza kwamba, mapendezo yaliyotolewa na Jopo hilo yatazingatiwa na kufanyiwa kazi.

“ Ninatoa shukrani zangu za pekee na za dhati kwako wewe kama Mwenyekiti kwa uongozi wako , na pia kuwashukuru wajumbe uliofanya nao kazi. Ripoti hii ambayo imesheheni mapendekezo na ushauri itazingatiwa na kufanyiwa kazi”. Amesema Ban Ki Moon 

Akabanisha kwamba, mapendekeo na ushauri uliomo ndani ya Ripoti ya Jopo atauwasilisha pia kwa Shirika la Afya Duniani ( WHO). 
Katibu Mkuu pia amesema Ripoti hiyo itasaidia sana katika kutoa mwongozo kwa Jumuiya ya Kimataifa juu ya namna ya kuimarisha na kuboresha miundombinu ya afya ili iweze kukabiliana na magonjwa ya milipuko.
Vile vile Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemhakikishia Mwenyekiti wa Jopo Mhe. Jakaya Kikwete na wajumbe wake kwamba, Ripoti hiyo itawekwa hadharani mapema iwezekanavyo ili Nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa na makundi mbalimbali ya jamii waweze kuisoma. 
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Jopo, Rais Mstaafu Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, amemshukuru Katibu Mkuu Ban Ki Moon, kwa kumpatia heshima ya kuongoza Jopo hilo, jopo ambalo amesema walifanya kazi kwa ushirikiano wa hali ya juu.
 Wajumbe wengine wa Jopo hilo walikuwa ni Bw. Celso Amorim ( Brazil), Micheline Calmy ( Switzerland), Marty Natalegawa ( Indonesia) Joy Phumapi ( Botswana) na Rajav Shah ( USA). 
Jukumu kubwa ya jopo hilo kwa mujibu wa hadidu za rejea, pamoja na mambo mengine, lilikuwa ni kutoa mapendekezo ya namna ya kuimarisha mifumo ya kitaifa na kimataifa katika kuzuia na kukabiliana na majanga ya kiafya yakiwamo magonjwa ya mlipuko, ikiwa ni pamoja na kujifunza kuhusu mwitikio wa Jumuiya ya Kimataifa kufuatia kuibuka kwa janga la ugonjwa wa Ebola.
Katika utekelezaji wa majukumu yake Jopo lilikutana na kufanya majadiliano ya kina na makundi mbalimbali yakiwamo ya wataalamu, wawakilishi wa nchi tatu ambazo ziliathirika sana na ugonjwa wa Ebola (Liberia, Siera Leone na Guinea),Mashirika ya Kimataifa na Kikanda , Taasisi za Fedha za kimataifa, wahudumu wa Afya, Wasomi , Watafiti, Sekta Binafsi na wataalam wa fani na kada mbalimbali.

DAWASCO YAKAMATA WATU 8 KWA WIZI WA MAJI DAR

$
0
0
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO) limewakamata watu 8 wenye mashamba eneo la Sakoveda mbezi Juu wilayani Kinondoni baada ya kugundulika wakiliibia Maji shirika hilo.

Akizungumza wakati wa operesheni ya mtaa kwa mtaa kuhakiki matumizi sahihi ya Maji kwa watumiaji wakubwa wa Maji eneo hilo, Meneja wa Kawe, Bwn Crossman Makere alisema operesheni hiyo ni mwanzo tu wa kutumbua uovu unaofanywa na watumiaji Maji kwa mgongo wa Ulimaji Mashamba na uuzaji maua ulioshika kasi jijini Dar.

“Dawasco tunajiendesha kwa kuzalisha Maji na kuhudumia wananchi na gharama zote hizo ni kutokana na mapato yanayopatikana ndani ya shirika kutokana na Ankara ya Maji inayolipwa na mteja.

“kwahiyo inapotokea watu wanafanya hujuma za aina yoyote ieleweke kwamba shirika linaingia hasara kubwa ambayo haiwezi kuvumiliwa kwa namna yoyote.
“hivyo basi tumeamua kufanya ukaguzi wa mashamba na bustani zote za mboga ili kubaini ni kina nani wanaohujumu shirika kwa kujiunganishia Maji kupitia njia za panya” Alisema Bwn Makere.

Aliongeza kuwa watu hao 8 wamekamatwa baada ya kupata taarifa toka kwa wasamalia wema juu ya kuwepo kwa maunganishio yaliyofanywa usiku wa manane ambayo yanapeleka Maji kinyemela katika mashamba hayo yenye ukubwa wa ekari zaidi ya 3.

“tumegundua maungio ya Inchi Moja zaidi ya 2 yanayopeleka Maji kwenye mashamba hayo ambayo wanalima zaidi mboga za majani kama mchicha na spinachi kwenye shamba hilo ambapo licha ya kuwataka wahusika wajieleze kuhusu Maji wananyotumia kustawisha mboga hizo hawakuwa na majibu sahihi” alisema Bwana Makere.

Kwa upande wake, Mmoja wawamiliki wa shamba hilo Bi Rahabu Vicent alisema tangu aanze kilimo hapo alikuta Maji yameunganishwa na hawakujua aliyeunganisha na yeye anategemea zaidi Maji ya Mto unaopita pembeni ya Mashamba yetu hivyo Maji ya DAWASCO anayatumia ila kwa kiasi kidogo.

Watuhumiwa hao walipoulizwa kama wanautaratibu wa kulipa Ankara zao kila mwezi kwa Maji ya Dawasco wanayotumia, Bi Rahabu alisema tangu waanze kutumia Maji hayo hawajawahi kupata bili yoyote toka DAWASCO na hawakufatilia kupata utaratibu wa kulipia kwani hata Mita ya Maji hawana.

Kwa upande wa mjumbe wa serikali ya Mtaa wa Sakuleda Bwn Cwell Mbeye alikiri kufahamu biashara hiyo kufanyika katika eneo hilo na kusema wananchi walishalipigia kelele suala hilo kwaniwafanyabiashara hao walisababisha huduma ya Maji katika eneo hilo kukosekana kutokana na wao kuhujumu miundombinu ya Maji katika eneo lao.

‘Tunaishukuru DAWASCO kuja kufanya operesheni hii kwani tunaamini sasa kilio cha wananchi wa eneo hili kukosa Maji kitapungua na sasa huduma hiyo itarudi baada ya wabadhilifu hao kujulikana na miundombinu yao kukamatwa” alisema Bwn Mbeye

Kesi hiyo imefunguliwa katika kituo cha polisi Kawe  na shauri litapelekwa Mahakama ya Jiji kwa ajili ya hukumu.

RANGI SAHIHI KWA AJILI YA MASTER BEDROOM

$
0
0
Rangi sahihi zitakifanya chumba cha wakuu wa familia kama mahali patakatifu. Kuchagua rangi kwa ajili ya kupaka chumba cha wazazi (Master Bedroom) ni moja kati ya hatua kubwa unazochukua wewe mwenyenyumba za kutengeneza mahali binafsi.

Chaguo lako linatakiwa liendane na muonekano wako kwa jinsi ya mtindo wako wa kupamba. Kwakuwa nyumba kwenye nyumba nyingi za kisasa chumba cha wakuu wa familia ni kikubwa kuliko vyumba vingine, una machaguo mengi na unaweza kuchanganya rangi tofauti kwenye kuta nne za chumba hiki ile kuleta muonekano wa kipekee.

Kama chumba cha wakuu wa familia kimeungana na bafu na sehemu ya kuvalia inakubidi kuweka mpangilio wa rangi kwenye maeneo hayo yote. Hii haimaanisha kuwa rangi ya chumbani na bafuni zinapaswa kufanana, bali inamaanisha zinapaswa kushirikiana. Kuchukua rangi moja kutoka sehemu moja na kuleta mguso wake kwenye sehemu nyingine kutatengeneza chumba cha kuvutia.
 
Fikiria mandhari unayotaka kuitengeneza chumbani. Wenye nyumba wengi wanataka mandhari tulivu ya rangi nyepesi. Japo hii haimaanisha kwamba rangi za kuwaka au nzito hazina nafasi kwenye chumba chako. Kama unadhani unazipenda rangi hizi (za kuwaka na nzito) basi fanya kuchanganya kuta na zile tulivu na nyepesi badala ya kupaka rangi moja chumba kizima.

Mara baada ya kuamua ni rangi zipi unataka kupaka, kinachofuata ni kufikiria jinsi gani unataka kuzitumia. Kama unataka rangi ya kuwaka kwenye chumba chako fikiria kijani. Je, unaipenda kijani? Kijani kama cha tunda la epo kina nadharia ya kuwaka na tulivu ambapo kijani hiki unaweza kukichanganya na rangi tulivu kama vile krimu nyeupe.

Vilevile bluu ya mawingu nayo ni tulivu na laini kwa chumba cha kulala. Kuna jamii nyingi za bluu nyepesi kwa ajili ya kuta za chumba cha kulala endapo hutaki ile bluu nzito. Bluu nyepesi zinafanya vizuri zikichanganywa na kahawia endapo nia yako ni kuchanganya nyepesi na nzito. Laa kama unataka kuchanganya nyepesi kwa nyepesi basi nyepesi ya bluu inaendana na nyeupe. Usishange kwanini mawingu yanapendeza! Vilevile bluu na kijani nyepesi zinapendeza zikitumika pamoja.

Kama nyekundu ndio rangi unayopendelea zaidi, unaweza kuitumia kwenye chumba cha kulala, ila kwa tahadhari. Nyekundu inaleta mhemko na ikiwa nyingi inaweza kuchosha mwili. Ama chagua nyekundu iliyofifia au paka kwenye ukuta mmoja tu, ule ukuta wa tendego (ubao wa kichwani wa kitanda) au ule wenye dirisha kubwa , ili mwanga upunguze makali ya rangi. Kuta tatu zilizobakia paka nyepesi ya kati ya zilizoainishwa juu.

Dondoo ya nyekundu inatumika vilevile kwa njano na chungwa. Hata nyeusi inawezekana kwenye chumba chako cha kulala ila kuwa makini kuichanganya na nyeupe na utaratibu ni uleule wa kuipaka kwenye ukuta mmoja tu kama ilivyoainishwa kwenye nyekundu.

Makala hii imeandikwa na Vivi ambaye ni mshauri wa mapambo ya nyumba. Mawasiliano 0755 200023 pia tembelea www.vivimachange.blogspot.com

BABA - DADDY FT. KING MAJUTO

$
0
0

AIRTEL YAZINDUA MODEM YA MAJABU WINGLE AMBAYO NI MODEM NA NI WIFI

$
0
0
Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando (kulia) na  Afisa wa Airtel kitendo cha huduma za Intaneti, Ndevonaeli Eliakimu  kwa pomoja wakionyesha bango la modemu mpya ya Airtel wingle wakati wa uzinduzi wa  modemu mpya itakayowawezesha wateja wake kufurahia huduma za Intaneti na Wi-Fi kwa pamoja na kuunganisha zaidi  ya vifaa 10 kwa wakati mmoja.
Meneja Uhusiano wa Airtel  Jackson Mmbando (kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa  modemu mpya
itakayowawezesha wateja wake kufurahia huduma za Intaneti na Wi-Fi kwa  pamoja na kuunganisha zaidi  ya vifaa 10 kwa wakati mmoja. Akishuhudia ni Afisa wa Airtel kitendo cha huduma za Intaneti, Ndevonaeli Eliakimu.
 Afisa wa Airtel kitendo cha huduma za Intaneti, Ndevonaeli Eliakimu akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa  modemu mpya itakayowawezesha wateja wake kufurahia huduma za Intaneti na Wi-Fi kwa pamoja na kuunganisha zaidi  ya vifaa 10 kwa wakati mmoja.
Mwandishi wa habari wa Star TV, Grace Semfuko akikabithiwa modemu yake ya Airtel  Wingle na Afisa wa Airtel kitendo cha huduma za Intaneti, Ndevonaeli Eliakimu mara ya kuibuka mshindi katika raffle  iliyoendeshwa wakati wa uzinduzi. akishuhudia ni Meneja Uhusiano wa Airtel  Jackson Mmbando.

SI KWELI KWAMBA RAIS MAGUFULI KUZURU KENYA KUHUDHURIA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU JARAMOGI ODINGA NA FIDEL ODINGA

$
0
0
Kumekuwepo na habari za uongo na potofu katika mtandao wa jamii wa www.kenya-today.com kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli atazuru Kenya kuhudhuria kumbukumbu ya marehemu Mhe. Jaramongi Odinda na Fidel Odinga Jumamosi hii. 

Inasikitisha kuona kwamba mwandishi wa Kenya anachukua nafasi ya Mwanhabari wa Rais wa Tanzania kwa kuwa na  ratiba ya Mhe. Rais wa Tanzania kuliko waTanzania wenyewe. 

Haijulikani ni nini has nia ya mtandao huo, lakini ukweli ni kwamba ratiba hiyo ni batili na ya uongo uliotukuka. Hawa watani wetu wa jadi wana lao jambo! 

Wapuuzeni. Taarifa hiyo si ya kweli.

KADDU SEBUNYA ELECTED PRESIDENT OF AFRICAN WILDLIFE FOUNDATION

$
0
0

*Ugandan conservationist will be a vocal, visible voice for wildlife in a modern Africa

NAIROBI, Kenya, January 28, 2016/ -- The African Wildlife Foundation (AWF) (www.AWF.org) announced today it has elected Ugandan native Kaddu Kiwe Sebunya to serve as its new President. Sebunya will focus on advancing a clear policy agenda for wildlife as part of Africa’s future, ensuring the continent’s blueprint for development and growth includes space and protections for Africa’s natural heritage.

“I am excited to be stepping into the role of president at a time when Africa’s economies are surging, and when important decisions are being made as to how Africa should manage its natural resources responsibly and with accountability,” said Sebunya. “The continent is undergoing a profound change, and we must help to guide this change so it benefits Africa’s people and wildlife.”

Sebunya began his career serving as a project manager with WaterAid and as a relief program officer with Oxfam UK. Beginning with his post as the Associate Director for the United States Peace Corps in Uganda, Sebunya’s career began to focus more on conservation. He later served as a country program coordinator with the World Conservation Union—now the International Union for Conservation of Nature, or IUCN—and as a senior policy and planning advisor for Conservation International.

In 2006, Sebunya moved to Washington, DC and became AWF’s Director of Programs. He developed and implemented a legislative program to engage U.S. lawmakers on issues affecting conservation and development in Africa. In 2013, he became Chief of Party for the USAID/Uganda Biodiversity Program before transitioning to AWF’s president.

Sebunya received his Bachelor’s degree in Social and Political Science from Uganda’s Makerere University and a Masters of Science degree in Sustainable Resource Management and Policy from London’s Imperial College. He also holds a Master of Arts degree in Law, Policy and Diplomacy from Tufts University’s The Fletcher School.

AN OVERVIEW AND HIGHLIGHTS OF STARTIMES GROUP 2015

$
0
0
Gu Xun, Vice President of StarTimes Group (Left) and Jean Jacques Bouya, Minister for Spatial Planning and Delegate-General for Major Projects, Republic of Congo, exchange the contract.

Uganda

Digital Migration continued to be the topic of discussion, on28thApril2015, Ugandan President Yoweri Kaguta Museveni, the Honourable Jim Muhwezi Katugugu, Minister of Information and State Guidance, and other sectors met with Chairman Pang in Entebbe.The meeting discussed StarTimes’ Public-Private-Partnership proposal with the Uganda government to rollout Digital Migration.
President Museveni expressed the importance of Digital Migration for the entire country and urged administrators to enter into further discussions with StarTimes.
Mr. Pang Xinxing, Chairman of the StarTimes Group and Mr. Museveni, President of Uganda.

Zambia.

The year kicked off with Pang Xinxing, Chairman of StarTimes Media Group having a very fruitful meeting with Zambian president, Edgar C. Lungu on 31March 2015. The Chairman shared information on StarTimes operations and investment in Zambia, to which President Lungu commented “You are the company that we would like to assist Zambia with rolling out Digital Migration.”
Mr. Pang Xinxing, Chairman of StarTimes and Mr. Edgar C. Lungu, President of Zambia.

China-Africa Media Summit

On 1st December 2015, the company co –hosted the China-Africa Media Summit together with Naspers. The event held in Cape Town South Africa at the International Conference Centre. It was organized by the State Council Information Office of the People’s Republic of China (PRC), undertaken by China National Publications Import & Export (Group) Corporation. More than 200 people attended the Summit including Jiang Jianguo, Director of the State Council Information Office of PRC, Jeff Radebe, South African Minister in the Presidential Office, the Consular General of China in Cape Town and the key media leaders from Africa and China.

At the Summit, Minister Radebe said that the media plays an important role in society and that communication would ensure that the friendship between China and Africa is solidified. He continued saying Africa has got abundant resources and unique cultural diversity and it is the media’s duty to write articles and stories that create a positive image of Africa-That the true story of Africa is told to the rest of the world. He maintained that the media are an important resource for the public to source information and create development opportunities.

South Africa is implementing a national development plan similar to China to alleviate poverty, injustice, and unemployment. The media plays a critical role in this process and he hoped that the Summit could openup a new area of co-operation between Africa and China that would encourage communication and ideas for common development.

China-Africa Equipment Manufacturing Industry Exhibition.

The StarTimes team then travelled to Johannesburg where on the 4thDecember2015, Chinese President Xi Jinping, South Africa President Jacob Zuma and Zimbabwean President Robert Mugabe, opened the China-Africa Equipment Manufacturing Industry Exhibition.

Many African country leaders, such as Filipe Jacinto Nyusi (President of Mozambique),Sassou-Nguesso (President of Republic of the Congo), Faure Essozimna (President of Togo), visited the StarTimes stand themed “The culture exchange bridge between China and Africa.”

Commenting on the exhibition, Chairman Pang said“ This exhibition offers an excellent opportunity for African countries to see the strength of Chinese companies. StarTimes expects great opportunities on the African continent and we are making a huge effort to promote the development of digital television.”
Media representatives at the China-Africa Media Summit.

With the International Telecommunications Union (ITU) setting down2015 to be the deadline for digitalization, it was a year of great significance and importance.

For StarTimes, the focus was on delivering on its mission of providing every African with affordable digital TV and excellent content.

5thAfrican Digital TV Development Seminar

Over 119 delegates attended the5thAfrican Digital TV Development Seminar, hosted by StarTimes in Tianjin, China on 9thJune 2015. Leaders from Broadcasting & TV Administrations, heads of national TV stations from 29 countries i.e. Nigeria, Tanzania, Guinea, Kenya etc. leaders from the Ministry of Culture, Ministry of Foreign Affairs, Ministry of Commerce, State Administration of Radio Film and Television, Beijing Municipality, Beijing Economic and Technological Development Zone and Beijing Cultural Bureau attended the seminar. It also included leaders from financial institutions like the Export-Import Bank of China, China-Africa Development Fund, China Export & Credit Insurance Corporation, as well as the media from China and Africa, senior experts from Europe and America in the broadcasting & TV industry

Chairman Pang, delivered a speech “Digital TV Promotes Social Development”. He said that the 15thJune 2015 is the Digital Migration deadline set down by the International Telecommunications Union and confirmed that digitalization can bring about a better user experience, with higher clarity and richer content.

The StarTimes Group will help Africa build an entirely new TV industry in the digitalization of programme sources, controlling and broadcasting systems, transmission network and user terminals. Considering the robust technological strength and rich experience, the StarTimes Group is confident that co-operation can promote the prosperity of the African TV industry and further economic development.

In the afternoon of June 9th, Chairman Pang Xinxing and Jörg Daubitzer, Managing Director of DFL Sports Enterprises, signed a contract for the exclusive broadcasting rights of Bundesliga for the next successive five years-from 2015 to 2020. Subscribers of StarTimes will be able to view brilliant Bundesliga matches from36 teams, including Super Bowl and up and downgrading matches.Three hundred matches will be played each season.

If one contract signing was not enough, on the same day, Chairman Pang sign eda contract with American Discovery Communications, allowing StarTimes subscribers access to high quality programmes such as Discovery Science, an education and entertainment channel of superior quality and Eurosports News.

Tanzania

In the middle of June, StarMedia Tanzania Limited received a certificate of appreciation, “For invaluable contribution to the success of migration from analogue to digital television broadcasting in Tanzania,” from the Minister of Communications Science and Technology and Chairman of National Steering Committee on Digital Broadcasting of Tanzania.

Tanzania’s Digital Migration Journey started in 2006when it amended its broadcasting laws to accommodate digital broadcasting. The process then started the switch from analogue to Digital Terrestrial Television (DTT). A joint venture-StarMedia Tanzania limited was formed in May 2009, between StarTimes and the Tanzania Public Service Broadcaster to roll out Digital Migration.

Currently Star Media Digital Television Broadcasting delivers to all former analogue serviced areas, including major commercial and capital cities of Tanzania. The government of Tanzania, through the Tanzania Communication Regulator has allowed the introduction of DTH to complement the DTT services.

During the Digital Migration process, the Tanzanian government provided tax relief and other incentives for importation of set-top-boxes (STB). Nearly one million set top boxes (STBs) have been sold to citizens and Tanzania currently enjoys about 51 digital channels, high lyun attain able during the analogue period.

Commenting on the successful Digital Migration, Tanzania’s Minister of Information, Culture, Youth and Sports, Dr. Fenella Mukangara said, “We merged with StarTimes to create a company specifically for the roll out of Digital Migration. This was by no means an easy task, but through fierce determination, we managed to become digitized. I would like to thank StarTimes for their excellent work during this process.”

“My government will continue to support the digitization process as well as content development,”added Minister Mukangara The Minister concluded that Tanzania had made good progress since 2006, when the decision was made by the International Television Union (ITU) to migrate from analogue to digital.

Football

August saw StarTimes signing with MP& Silva Limited for the exclusive rights of the Italian Cup in Sub-Saharan Africa for three consecutive seasons( 2015/2016, 2016/2017 and 2017/2018) and the Italian Supercup for Year 2016 and Year 2017. In addition, Ligue 1 also arrives at StarTimes for three seasons: 2015/2016, 2016/2017 and 2017/2018.

Republic of Congo

Towards the end of August, the focus moved to the Republic of Congo, where StarTimes signed an agreement and together with the Republic of Congo,will roll out digital television across the country.
The project, worth $161 million will establish digital TV transmitters in 38 cities across the country and will comprise of the digitalization of programme sources, broadcasting system, transmission system, and user terminal. Digitalization will enrich the cultural life of the citizens, but also restore transmission and communication of information-ushering in the Information Age.

The project aims to meet the requirements of the International Telecommunications Union (ITU) that all the member countries should realize the Digital Migration by 2015.
China’s role in Africa

Commenting on China’s role in Africa, Mr. Chishimba Kambwili, Minister of News Department in Zambia, said that China plays a leading role in telecommunications, Internet, digital TV, education, culture, health care, etc. The co –operation between China and Africa brings a highly valued win –win situation. The Minister said that Digital Migration in Zambia is being rolled out in cities as well as the rural areas. A co-operation contract has been signed between the Zambia government and StarTimes.

ITU Secretary visits StarTimes Group head office

On the 12thSeptember 2015, there was a very welcome visit to StarTimes Group head office, Beijing by Secretary of the ITU, Zhao Houlin. Guo Ziqi,Vice President of StarTimes Group, hosted Mr Houlin who was impressed by StarTimes’ independent research of multiple terminal products and the modernized Control Centre. He also welcomed further participation of StarTimes in ITU’s careers and assistance with completing Digital Migration in Africa.

During the visit, Ms.Guo Ziqi, VP of StarTimes, also gave feedback on the company’s operational business and Digital Migration in African countries, the multiple transmission networks of DTT and DTH and the transmission and broadcasting of TV series.

Word Quality Commitment Award

In October2015, LiaoLanfang, CEO of StarMedia Tanzania Limited, received the Word Quality Commitment (WQC) from Business Initiative Directions (B.I.D.) at an awards ceremony held in Paris.

ITU Telecommunications Summit

Chairman Pang received an invitation to attend the Telecommunications Summitheld on 19thOctober2015 in Kigali, organized by ITU and hosted by Rwanda government. More than 2500 delegates attended the Summit and guests included Zhao Houlin, Secretary of ITU, Anastase Murekezi, Premier of Rwanda and leaders from the World Bank and African Union.
The Summit aimed to promote digital innovation for a digital Africa. It called for co-operation and communication in digital networks, digital cities, digital products, digital factories and digital services etc.
 
Video Compression

Dr. PangYi, Managing Director of R&D, says what distinguishes StarTimes from its competitors is innovation and new ideas. She introduced StarTimes’ R&D patented technology, video compression-H.265, or HEVC. It is the next generation of the compression technology. With H.265, half of the bandwidth of the video transmission can be saved, without compromising video quality. This enables StarTimes to not only provide online videos, but also online videos in a 3G network as well as EDGE (2.75G network) technology.

Uganda Consumers Preference Awards

On 14th December 2015, StarTimes DTV (Uganda) Co. Ltd. was awarded the Best Digital & Pay TV operator at the Uganda Consumers Preference Awards (CPA).

Broadcast licenses

StarTimes currently has licenses and registered companies in 30African nations, 16 of which use StarTimes’ broadcasting networks ,Including Burundi, Democratic Republic of the Congo, Guinea, Kenya, Madagascar, Malawi, Mozambique, Nigeria, Rwanda, Republic of Central Africa, Republic of the Congo, South Africa, Tanzania and Uganda.

With high quality products, affordable prices and a high standard of service, StarTimes will continue to strive to deliver on its promise of digitalization of Africa.

An overview of the StarTimes Group

StarTimes is the leading digital-TV operator in Africa, covering 80% of the continent's population with a massive distribution network of 200 brand halls, 3,000 convenience stores and 5,000 distributors. StarTimes owns a featured content platform, with 440authorized channels consisting of news, movies, series, sports, entertainment, children's programs, fashion, religion etc. The company's vision is "To enable every African family to afford and enjoy digital TV" StarTimes achieves this by combining satellite and terrestrial DTV systems to provide an open and secure digital wireless platform. The company provides a robust signal transmission service for public and private broadcasters, offers consumers outstanding pay-tvprograms, mobile multimedia and wireless Internet connectivity.

TRA YAWAOMBA WANANCHI KUTOA USHIRIKIANO

$
0
0
Na Jacquiline Mrisho - MAELEZO.

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yawaomba wananchi kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa za Maafisa wanaofanya kazi kinyume na maadili.

Akiongea na mwandishi wa habari hii leo Jijini Dar es salaam Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi Richard Kayombo amesema kuwa TRA ina Idara Maalumu ijulikanayo kama Idara ya Mambo ya Ndani ya TRA ambayo inashughulika na kufuatilia maadili ya watumishi wa sekta hiyo nchi nzima.

“Tunawaomba wananchi kushirikiana na Idara ya Mambo ya Ndani ya TRA kwa kuwapa taarifa juu ya maafisa wa TRA wanaokwenda kinyume na Maadili ya Utumishi wa Umma,”alisema Kayombo.

Mkurugenzi Kayombo ameongeza kuwa wananchi wanaweza kutoa taarifa kwa kupiga simu kwa namba 0689122515 au kwa kutuma ujumbe mfupi kwa simu namba 0689122516  na kuwahakikishia kuwa taarifa zao zitakua zimefika sehemu husika na zitafanyiwa kazi.

Aidha Kayombo amependa kuwatoa wasiwasi wananchi kuwa namba hizo ni za siri na hakuna mwananchi atakayepata tatizo lolote kwa kutoa taarifa za maafisa wasio na maadili.

TRA kupitia Idara yake ya Mambo ya Ndani imepokea malalamiko mengi kutoka kwa wananchi juu ya watumishi wa TRA wanaoenda kinyume na maadili, wameyafanyia uchunguzi na baadhi ya watumishi wamefukuzwa na wengine kupewa adhabu kali.

IMANI ZA KISHIRIKINA ZASABABISHA MTU MMOJA KUZIKWA NA MALI ZAKE IKIWEMO KRETI ZA BIA NA SODA - KAHAMA

$
0
0
Na Shija Felician, Mwananchi - Kahama.

Wakati serikali ikipigia kelele kukemea imani za kishirikina, wilayani Kahama bado ni kitendawili baada ya mkazi mmoja wa Kijiji cha Mwamande, Kata ya Mwanase katika Halmashauri ya Msalala kufariki na baadaye wanakijiji kumzika na mali zake zote yakiwemo makreti ya bia na soda aliyokuwa akiyatumia kwenye biashara yake ya baa.
Tukio hilo limetokea jana katika kijiji hicho baada ya mwanakijiji huyo, Mahushi Lutaja kufariki na baadaye familia yake kupitisha maadhimio ya kumzika na mali zake zote kwa imani ya kwamba kifo chake kimetokana na kurogwa na wao kuhofia kwamba wakibaki na mali zake nao watakumbwa na mauti.
Kwa mujibu wa diwani wa Kata ya Mwanase, Samson Masanja, Lutaja baada ya kifo chake alizikwa na baisikeli moja vitanda vinne na magodolo yake pamoja na masanduku ya nguo zake zote na vitu vingine vidogovidogo alivyokuwa akivitumia.
Pia Masanja alisema, Lutaja alizikwa na makreti ya bia na soda ambayo kabla ya kifo chake alikuwa akiyatumia kwenye biashara yake ya kuuza vinywaji kwenye kijiji hicho cha Mwamande ambapo tukio hilo limehusishwa na imani za kishirikina.
 
Wakati akiugua ndugu zake waliamini kwamba ugonjwa huo uliopelekea kifo chake ulitokana na kurogwa hivyo familia yake iliingiwa na hofu hiyo hasa kutokana na kuwepo madai ya waganga wa jadi kuamini kwamba ndugu yao alirogwa.
Viewing all 19859 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>