Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19907

MWANARIADHA SIMBU AREJEA NCHINI TANZANIA AKITOKEA KATIKA MASHINDANO YA OLIMPIKI, BRAZIL

$
0
0
 Mwanariadha wa mbio ndefu wa Tanzania Alphonce Felix Simbu (24) jana amepokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam akitokea nchini Brazil kwenye michuano ya Kimataifa ya Olimpiki.

Simbu alitia fora kwa kushika nafasi ya 5 kwenye siku ya mwisho ya michuano ya Olimpiki katika mashindano ya marathon jijini Rio de Janeiro nchini Brazil. Alitumia saa 2:11:15, sekunde 11 nyuma ya mshindi wa nne Ghirmay.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19907

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>