


Jokha akikamua.
‘Bi. Harusi’ akiondolewa jukwaani baada ya kumaliza kufanya makamuzi.
---
UMATI mkubwa wa wasaka burudani ulifurika ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live huko Mbagala katika kusherehekea mwaka mpya ambapo pia kundi la taarabu la T Moto lilizindua albam ya ‘Domo la Udaku’
(PICHA: RICHARD BUKOS NA ISSA MNALLY/ GPL)