Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19768

RAIS KIKWETE AHANI MSIBA WA MUHIDIN MAALIM GURUMO NYUMBANI KWA MAREHEMU UBUNGO KIBANGU LEO

Image may be NSFW.
Clik here to view.
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mjane wa marehemu Muhidin Maalim Gurumo (mwenye shuka nyeupe) na wanafamilia alipokwenda kuhani msimba huo Ubungo Makuburi jioni ya leo April 15, 2014, siku ambayo marehemu alizikwa kijijini kwao Masaki, Kisarawe, Mkoa wa Pwani.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete pole Bw. Abdallah Muhidin Gurumo, mtoto wa marehemu Muhidin Maalim Gurumo na wanafamilia alipokwenda kuhani msimba huo Ubungo Makuburi jioni ya leo April 15, 2014,
Image may be NSFW.
Clik here to view.
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Bw. Omar Muhidin Maalim Gurumo alipokwenda kuhani msimba huo Ubungo Makuburi jioni ya leo April 15, 2014,
Image may be NSFW.
Clik here to view.
 Sehemu ya waombolezaji
Image may be NSFW.
Clik here to view.
 Mmoja wa wana familia Bw. Salim Zagar akitoa taarifa fupi ya msiba pamoja na mazishi kwa Mhe Rais
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Muziki wa dansi Bwana Brighton akimshukuru Rais Kikwete kwa kwenda kutoa pole ya msiba huo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19768

Trending Articles