Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19903

Rais Dkt. Samia afuturisha Watoto Yatima na Watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu Jijini Dar es Salaam

$
0
0
















Watoto yatima pamoja na watoto wenye mahitaji maalum wakiwa kwenye Iftar iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Jijini Dar es Salaam 03 Machi, 2025.






Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapakulia Iftar watoto yatima pamoja na watoto wenye mahitaji maalum Ikulu Jijini Dar es Salaam 03 Machi, 2025.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19903

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>