Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19981
↧

DK. KIGWANGALLA AFUNGUA WARSHA YA KITAIFA YA MAPITIO YA RASIMU YA SERA YA TAIFA YA UTALII YA MWAKA 2018 LEO JIJINI DODOMA

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla akifungua Warsha ya Kitaifa ya Mapitio ya Rasimu ya Sera ya Taifa ya Utalii ya mwaka 2018 Jijini Dodoma leo.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla akifungua Warsha ya Kitaifa ya Mapitio ya Rasimu ya Sera ya Taifa ya Utalii ya mwaka 2018 Jijini Dodoma leo.
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi akizungumza katika warsha hiyo.
Mkurugenzi wa Idara ya Utalii, Wizara ya Maliasili na Utalii Deogracious Mdam akizungumza katika warsha hiyo.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa ESRF, Deodatus Sagamiko akizumza katika warsha hiyo. ESRF ni moja ya wadau wakuu waliofadhili zoezi hilo la kuhuisha sera ya taifa ya utalii.
Baadhi ya wadau katika wa warsha hiyo.
Baadhi ya washiriki wa warsha hiyo.
Meza kuu.
Wadau. 
Picha ya pamoja.
Picha ya pamoja.
Picha ya pamoja. Hamza Temba - Wizara ya Maliasili na Utalii).
↧

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19981

Latest Images

Trending Articles

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>