Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19684

MSANII PROFESSA JAY AJIUNGA NA CHAMA CHA CHADEMA

$
0
0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Professa Jay ametangaza rasmi kuwa mwanachana wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwa mjini Dodoma alipokwenda kuhudhuria bunge la bajeti jana. Kwa mujibu wa picha ambazo amekuwa akizisambaza kwenye mitandao ya kijamii msanii huyo alionekana akiwa na mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi huku akiwa amekamatia kadi ya chama hicho.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19684

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>