

…Akikamua katika nguo za shule na akiwa na fagio.
MTANANGE wa kumtafuta mkali wa nyimbo za ku-rap, The Mic King, uliendelea jana katika ukumbi wa burudani wa Dar Live ambapo washiriki 10 walichuana kugombea zawadi ya kushinda gari dogo la kifahari.
(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY)