Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19671

BASI LA MOHAMED TRANS LAPATA AJALI

$
0
0
Watu 6 wamefariki Dunia na wengine ambao idadi yao haijajulikana wamejeruhiwa vibaya baada ya Basi la Mohamed Trans lililokuwa linatoka Mwanza kwenda Dar es Salaam kupinduka katika eneo la Makomero mpakani mwa Singida na Tabora majira ya mchana.

Habari kamili zitawajia zaidi tutawajuza...

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19671

Trending Articles