
Mshiriki wa kinyang’anyiro hicho, Bahati Charles Kuyela, kutoka Kigamboni akionesha ‘maukali’ yake.

Profesa Jay (kulia) na Nick Mbishi wakifurahia baada ya kunogeshwa na wakali hao.


DJ Juice akipangilia ‘beat’ katika kipute hicho.



WASHIRIKI wa kinyang’anyiro cha kumsaka ‘The Mic King’ kinachotimua vumbi kila Jumapili ndani ya Ukumbi wa Dar Live ambacho mshindi anatarajiwa kujinyakulia gari jipya la kisasa, jana usiku walimtoa jasho mkali wa rap hapa nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’ kwa kuchana mistari ya nyimbo zake kiufasaha.
(PICHA: RICHARD BUKOS NA ISSA MNALLY/GPL)