






France wanapata bao kwa mkwaju wa penati na mchezaji wa Honduras W. Palacios anatolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kumsukuma mchezaji wa Ufaransa Pogba kwenye eneo hatari la kipa. ![Wilson Palacios of Honduras is shown a red card by referee Sandro Ricci during the 2014 FIFA World Cup Brazil Group E match between France and Honduras at Estadio Beira-Rio on June 15, 2014 in Porto Alegre, Brazil.]()

Karim Benzema anaifungia bao hilo kwa mkwaju wa penati katika dakika za mwishoni mwa kipindi cha kwanza katika dakika ya 45. Ufaransa wanaenda mapumziko wakiwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya Honduras.
Patashika za hapa na pale zilitokea baada ya mchezaji wa Honduras kumfanyia rafu mbaya Pogba
Karim akichonga penati...na kuitangulia mapema Ufaransa bao 1-0......
Karim Benzema akishangilia bao alilolifunga kwa mkwaju wa penati
Pogba chini
Mchezaji wa Honduras Wilson Palacios huku mwamuzi akiwa na yeye!
Mchezaji wa Ufaransa Evra chini...chali!!
Kikosi cha France
Kikosi cha Honduras







VIKOSI:
France: Lloris, Debuchy, Varane, Sakho, Evra, Pogba, Cabaye, Matuidi, Valbuena, Benzema, Griezmann.
Subs: Ruffier, Cabella, Giroud, Mavuba, Mangala, Sagna, Digne, Sissoko, Remy, Koscielny, Schneiderlin, Landreau.
Honduras: Valladares, Beckeles, Bernardez, Figueroa, Izaguirre, Najar, Wilson Palacios, Garrido, Espinoza, Bengtson, Costly.
Subs: Lopez, Osman Chavez, Montes, Juan Garcia, Jerry Palacios, Mario Martinez, Delgado, Oscar Garcia, Rony Martinez, Claros, Marvin Chavez, Escober.
Referee: Sandro Meira Ricci (Brazil).