
Kikosi hicho ni makipa:
Vincent Enyeama, Austin Ejide, Chigozie Agbim na Daniel Akpeyi;
Mabeki: Elderson Echiejile, Juwon Oshaniwa, Godfrey Oboabona, Azubuike Egwuekwe, Kenneth Omeruo, Joseph Yobo, Kunle Odunlami na Efe Ambrose.
Viungo:
John Mikel Obi, Ogenyi Onazi, Ramon Azeez, Joel Obi, Nosa Igiebor, Michael Uchebo, Ejike Uzoenyi, Sunday Mba na Reuben Gabriel, wakati washambuliaji ni: Ahmed Musa, Shola Ameobi, Emmanuel Emenike, Obinna Nsofor, Osaze Odemwingie, Babatunde Michael, Victor Moses, Uche Nwofor na Nnamdi Oduamadi.
Nigeria ni moja kati ya nchi tano za Afrika zitakazoshiriki fainali za Kombe la dunia mwaka huu, pamoja na Algeria, Ghana na Ivory Coast.