Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19781

MASHABIKI WACHENGUKA KWA MITIKISIKO YA PWANI

Image may be NSFW.
Clik here to view.
Mwimbaji wa bendi ya Super Shine, Queen Salma akifungua pazia la burudani.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Nuru Moshi wa Super Shine akitoa burudani.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Waimbaji wa Super Shine wakiimba.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Khadija Omar Kopa wa TOT akitoa burudani.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
…Akiviringisha kiuno chake.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Mashabiki waliojitokeza kushuhudia onyesho hilo.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Khadija Kopa akicheza na baadhi ya waimbaji wake.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Ally J wa kundi la Five Star akipagawisha mashabiki.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Maua Tego wa Five Star akiimba.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Hashim Saidi wa Mashauzi akiwapagawisha mashabiki.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Waimbaji wa Mashauzi wakiserebuka.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Fatma Machupa wa Jahazi akiimba.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Fatma Mahamud wa Jahazi naye akiimba.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Khadija Kopa akiwa amepozi akisubiri kupanda jukwaani.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
MC wa tamasha hilo, Khadija Shaibu ‘Dida’ (kushoto) akipozi na wenzake. Kulia ni msanii wa maigizo, Monalisa.


Image may be NSFW.
Clik here to view.
Monalisa akiwa na shabiki wake.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Dida (kushoto) akikabidhiwa keki na shabiki wake.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Mtangazaji wa Times FM, Cliford Ndimbo, akiwa na mkewe.

Ukumbi wa Taifa wa Burudani wa Dar Live usiku wa kuamkia leo ulitikisika kutokana na kufurika mashabiki ambao walijitokeza kwa wingi kushuhudia onyesho la Mitikisiko ya Pwani lililoandaliwa na Redio TIMES FM kwa udhamini wa Vodacom.
Katika onyesho hilo, bendi tano za miondoko ya taarab zilidondosha burudani ya nguvu ambayo iliwafanya mashabiki wa miondoko hiyo washindwe kutulia katika viti vyao.

Pazia la burudani hiyo lilifunguliwa na kundi la Super Shine ambao waliingia na staili ya ngoma ya Kimwera ambayo ilisababisha mashabiki kuwashangilia kwa nguvu.


(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY/ GPL)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19781

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>