TIMAMU AFRICAN MEDIA YAELEZA MAFANIKO YAKE
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya TIMAMU AFRICAN MEDIA, Timoth Corard Kachumia (TICO) -(katikati) akiongea mbele ya waandishi wa Habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam leo wakati akitambulisha...
View ArticleVUNJA MBAVU; PALE MAANDIKO YA BIBLIA YANAPOTUMIKA PASIPOSTAHILI
Jamaa: Hello mrembo, samahani, una mpenzi?Binti: Hapana. Sina mpenzi.Jamaa: Kitabu cha Mwanzo 2: 18 "Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye."Binti:...
View ArticleOFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YAZUNGUMZIA MFUMUKO WA BEI WA TAIFA WA MWEZI...
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Ephraim Kwesigabo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa...
View ArticleVIONGOZI MBALIMBALI WA AFRIKA WAJITOKEZA KUMZIKA MTOTO WA RAILA ODINGA NCHINI...
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga (wa pili kutoka kulia) akizungumza jambo na ujumbe kutoka Tanzania ulioongozwa na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli. Ujumbe huo ulikwenda kumpa pole...
View ArticleHERI YA SIKU YA KUZALIWA MWANALIBENEKE WA DEMASHO
Mwanalibeneke wa Demasho.com Hamza Juma akiwa anawajibika , leo hii anasherekea siku yake ya kuzaliwa. Wahenga wanasema maisha ni Safari na siku hazigandi, nakama maisha ni safari basi kila kukicha...
View ArticleHUYU NA YULE... MAHOJIANO NA DR TALIB ALI
Karibu katika kipindi cha HUYU NA YULE ambapo wiki hii tumeongea na Dk Talib AliYeye ni mwanzilishi wa Avatar Dental Care iliyopo Leesburg Virginia.Ameeleza mengi kuhusu kazi zake na mikakati aliyonayo...
View ArticleHAPPY BIRTHDAY MUGANYIZI BISHEKO
Ikiwa leo Januari 12, 2015 ni siku ya kuzaliwa kwa Ofisa Masoko Mwandamizi Access Bank, Muganyizi Bisheko... Kajunason Blog Inapenda kukutakia heri na fanaka. Mwenyezi Mungu akujalie maisha...
View ArticleSHEREHE ZA MAADHIMISHO YA KILELE CHA MIAKA 51 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR MJINI...
No comments Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia Mkono wananchi wakati alipowasili katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja katika kilele...
View ArticleDUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY LAZINDULIWA JIJINI DAR
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Catherine Magige (kushoto) akiwasili kuzindua rasmi duka la urembo la ZuRii House of Beauty linalomilikiwa na mwana Diaspora ambaye pia ni mwanalibeneke...
View ArticleKWA USHAURI SAHIHI WA MATUMIZI YA DAWA ZA MATIBABU NA FAMASIA FIKA HANOI...
Utakapo kuwa Dar free market tembelea Hanoi Pharmacy uweze kupata huduma za kitaalamu kuhusu masuala ya kiafya,Matumizi sahihi ya dawa pamoja na ushauri wa Kifamasia.Kwa mawasiliano zaidi piga namba...
View ArticleKAMISHINA GENERALI WA MAGEREZA JOHN CASMIR MINJA AMPANDISHA CHEO MWANARIADHA,...
Kamishna Jenerali wa Magereza, John Minja, akizungumza wakati wa hafla fupi ya kumpandisha cheo koplo, Catherina Lange kuwa Sanjenti wa Jeshi la Magereza.Kamishna Jenerali wa Magereza, John Minja,...
View ArticleTANZANIA YASHIRIKI KATIKA MKUTANO WA KUMI WA MAENDELEO YA TAKWIMU AFRIKA...
Washiriki kutoka Tanzania wakisikiliza kwa makini mambo yanayoendelea katika Mkutano wa Kumi wa Maendeleo ya Takwimu Afrika uliofanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Speke Munyoyo Kampala, Uganda....
View ArticleFASTJET YASAFIRISHA ABIRIA WA MILIONI MOJA
Meneja Mkuu wa Fastjet wa kanda ya Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kushoto), akiwa na Grace Makazi ambaye alipokea ofa ya tiketi mbili za bure kama abiria wa milioni moja wa shirika hilo la ndege mara...
View ArticleNAPE AYATAJA MAAZIMIO KAMILI YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KILICHOFANYIKA...
Katibu wa NEC-Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Wanahabari mapema leo akifafanua kuhusiana na ripoti na maazimio ya kikao cha kamati kuu cha CCM kilichofanyika jana katika ukumbi wa Ofisi...
View ArticleTIGO YAANZA MWAKA NA TAMASHA KUBWA LA TIGO MUSIC NI "KIBOKO YAO"
Meneja Chapa wa Tigo bw. William Mpinga akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Tigo Music( Tigo Kiboko Yako) ambayo itawawezesha wasanii wa ndani kuweza kupata kipato...
View ArticleMFAHAMU ANGEL BENARD - MUIMBAJI WA GOSPEL YA KISASA
Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG
View ArticleKAMPUNI YA TIGO YATOA ZAWADI ZA SIKU YA MAPINDUZI KWA WATEJA WAKE ZANZIBAR
Wafanyakazi wa Tigo wakitoa huduma mbalimbali kwa wateja waliotembelea ofisi ya Tigo, Malindi mjini Zanzibar jana.Ofisa wa Tigo Zanzibar Fredy Mugule akikabidhi zawadi wa Thuwayba Ali kwenye...
View ArticleTAKWIMU SAHIHI NA ZA WAKATI ZITASAIDIA KULETA MAENDELEO KWA HARAKA BARANI...
NA VERONICA KAZIMOTO, KAMPALA.WITO umetolewa kwa washiriki wote wa Mkutano wa Kumi wa Maendeleo ya Takwimu Afrika kuelendelea kutoa takwimu sahihi na kwa wakati ili kuleta maendeleo yanayokusudiwa ya...
View Article