TPDC YATUMIA DOLA ZA KIMAREKANI BILIONI 1.225 KWA AJILI YA MRADI WA BOMBA LA...
Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC), Michael Mwande akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzungumzia mradi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi...
View ArticleEWURA YASHUSHA BEI YA MAFUTA NI KUANZIA KESHO JANUARI 7,2015
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), Felix Ngamlagosi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo, kuhusu...
View ArticleWATUHUMIWA 510 MTANDAO WA PANYA ROAD WAKAMATWA DAR
Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akionyesha picha za viongozi wa Panya Road kwa wanahabari.Baadhi ya Panya Road waliokamatwa.JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es...
View ArticleDKT. SHEIN AKUTANA NA MABALOZI WA UJERUMANI NA MISRI, IKULU ZANZIBAR LEO
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania Egon Kochanke alipofika Ikulu Mjini Uguja leo asubuhi.Rais wa Zanzibar na...
View ArticleALIBINO ANASAKWA MWANZA WATU 15 MBARONI
SUNGU SUNGU WAKIMSIKILIZA MKUU WA MKOA.WANANCHI WA KIJIJI CHA NDAMI WAKIMSIKILIZA MKUU WA MKOA WA MWANZA MAGESA MULONGO HAYUPO HEWANI.WAANDISHI WA HABARI SHEILA SEZI NA GRACE CHILONGOLA WALIPOKUWA...
View ArticleMFUNGWA ALIYEACHILIWA HIVI PUNDE AFUMANIWA AKIIBA NG'OMBE, MOLO - KENYA
Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG
View ArticleCHAMA CHA ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT-TANZANIA) KUFANYA...
Chama cha Alliance for change and Transparency (Act-Tanzania) kinatarajia kufanya uchaguzi mkuu wa kwanza ndani ya chama wa kuchagua viongozi wapya wa kudumu januari 19 mwaka huu.Uchaguzi huu unatokana...
View ArticleMBUNGE WA MOROGOR MJINI ATUMIA ZAIDI YA MILIONI 20 KUTATUA KERO YA MAJI KATA...
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Kwenye Ofisi ya Mtendaji kata ya Mlimani Katika Mfululizo wa Ziara zake katika Kata mbalimbali Jimbo...
View ArticleSABABU ZA WANAWAKE KUWAKATAA MWANAUME MNAPOWATONGOZA
1. Upendo wa dhati kwa mme wake au mpenzi wake.2. Kulinda heshima yake kwa ndugu na jamaa-kama ameolewa.3. Kuogopa kupoteza fursa aliyonayo kutoka kwa mme au mpenzi wake.4. Hasira ya kutongozwa na mtu...
View ArticleI KNEW YOU LOVED ME BEFORE YOU MET ME - KANSIIME ANNE
Copyright 2007-2014 @KAJUNASON BLOG
View ArticleSAFARI YANGU YA DODOMA - DAR ES SALAAM
Ni majira ya saa 2 asubuhi nikitoka zangu Dodoma kwenye usaili narudi zangu Dar ninapoishi. Kutokana na ugumu wa maisha, nimebakiwa na shilingi 3,000 tu mfukoni hapo nikiwaza chakula cha jioni pamoja...
View ArticleMAELEZO BADILISHENI MFUMO WA UTOAJI PRESS CARD
WASOMAJI na wadau wangu nawasalimu na naimani kuwa Mwenyezi Mungu ametujalia tumeuona mwaka mpya wa 2015 salama salmini. Nawatakia heri na fanaka katika mwaka huu pia na karibuni tena katika porojo...
View ArticleJE, WAJUA? MKE MWEMA=MJASIRIAMALI!
Wengi tunafahamu kuwa Mithali 31: 10-29 imeeleza sifa za mke mwema. Wasichojua wengi kuwa sehemu kubwa ya sifa zinazotajwa kwa mke mwema zinahusu tabia za kiujasiriamali. nafahamika kuwa tunaposema...
View ArticleARUSHA TO GET 2 NEW TOWNS: NHC
Wawasilishaji, James Kisarika, Yusufalli Murad, Meneja Mradi Wa USA River Satellite City na Ms. Meena Pandit, Mkurugenzi , PHILS International ambao ni Washiriki wa NHC katika katika uendelezaji wa...
View ArticleWAZIRI WA VIWANDA ATEMBELEA MACHIMKBO YA CHUMA LIGANGA NA MAKAA YA MAWE...
Waziri wa Viwanda na Biashara akutana na wafanyabiashara wa Mkoani Njombe na kuzungumza nao fursa mbalimbali zilizopo katika mkoa huo mara baada ya kupokewa na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt. Rehema...
View ArticleMH. MAKALLA AKANUSHA KUZINDUA MRADI MAJI WILAYA YA LONGIDO
Nimesoma katika gazeti la Habari leo la tarehe 9 Januari,2015,toleo la 02942,Ukurasa wa 8 habari na mwandishi Prisca Libaga,Arusha ,habari yenye kichwa cha habari "Mradi wa Maji wadaiwa kutoa...
View ArticleRAIS KIKWETE AKABIDHI VITABU 201 KWA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI, AAGANA NA...
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi baadhi ya vitabu na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange. Rais Kikwete amekabidhi vitabu hivyo 201 kwa ajili ya Maktaba ya Chuo cha...
View ArticleHEINEKEN CELEBRATES NEW YEAR 2015 IN STYLE AT GEORGE AND DRAGON, DAR
It was finally the last day of 2014 and dawn of 2015. Revelers had waited long enough for this. A lot of parties took place at Dar es salaam entertainment hot spots but the one which stood out the most...
View Article