Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19680

MAMA TUNU PINDA AWAASA AKINAMAMA WA KITANZANIA KUJIENDELEZA KIELIMU

$
0
0
Mkuu wa chuo kikuu huria cha Tanzania Dokta ASHAROSE MIGIRA akimtunuku shahada ya uzamili ya usimamizi wa miradi mke wa waziri mkuu mama Tunu Pinda katika mahafali ya 27 yaliyofanyika mjini DODOMA kushoto anayeshuhudia ni Makamu mkuu wa chuo hicho Profesa Tolly Mbwete. Picha na Chriss Mfinanga.
Wanafamilia wakimvisha maua.
Kikundi cha wake wa viongozi kutoka Dar es Salaam kikimpongeza mlezi wao Mama Tunu Pinda kwa kutunukiwa shahada ya uzamili ya Usamamizi Miradi ya Chuo Kikuu Juria Tanzania katika mahafali ya 27 iliyofanyika Mjini Dodoma, kushoto Mama Mashiba, Mama Lukuvi na Mama Malima.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19680

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>