Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19680

CXC AFRIKA YAMPIGA TAFU SIBOKA

$
0
0
Msanii wa nyimbo za asili Tanzania Engele Yange anatarajia kurekodi nyimbo yake jijini Mwanza katika Ziwa Victoria ili kuendeleza kutangaza utalii wa nchi. Nyange atakuwa na kundi lake Mjini Mwanza kwa wiki mbili ya mwezi huu.

Yange ni ameimba nyimbo nne za makabila manane ya Kikerewe,Kihaya,Kijita.Kisukumapamoja  na   Kikulya.

Katika Mkoa wa Mara aliimba katika video kwa kabila la wajita video hizo ni mbili zitaanza kuruka mapema Februari  mwaka  huu.

Siboka(mfalme)ameushukuru Uongozi wote wa CXC AFRIKA LTD. Unavyotoa misaada mbalimbali kwa wasanii wa hapa nchini Kupitia Mkurugenzi Wao  Charles Hamkah.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19680

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>