Quantcast
Channel: HABARI NA MATUKIO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19676

TPDC YATUMIA DOLA ZA KIMAREKANI BILIONI 1.225 KWA AJILI YA MRADI WA BOMBA LA GESI

$
0
0
 Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC), Michael Mwande akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzungumzia mradi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam ambapo ujenzi huo umefikia asilimia 94.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC),James Andilile akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzungumzia mradi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam ambapo ujenzi huo umefikia asilimia 94. wengine pichani ni  Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC), Michael Mwande (katikati) na Kaimu Meneja Mkuu wa GASCO,Kapwalya Mhisomba (kushoto).

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19676

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>